warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
Wanazengo,
Leo nilikua katika mishe mishe zangu kama mnavyojua jua la dar, ikanibidi nielekee beach kupunga Upepo kidogo. Nikapaki kibirit changu pembeni, nikatoka kwenye gari nikaa kwenye kivuli nikatoa sigara yangu nikaanza kuvuta taratibu huku nikitafakari maisha.
Kitu cha kushangaza na kustaajabisha, baada ya dakika kadhaa, nikashangaa nimenyewa na ndege, mavi meupee kwa haraka sikujua ni ndege gani. Ila kulikua na kunguru angani hivyo nikahisi bila shaka ni kunguru kaninyea
Nilishikwa na butwaa sana, nikashangaa maana space ni kubwa why aninyee. Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla. Ni kawaida au kuna kitu au ishara ya jambo fulani ?
Nimejikuta tu nakosa raha na kujiuliza endapo itakua tu ni kawaida au kuna ishara nyingine ya kiimani kuhusu tukio hilo
Tusaidiane mawazo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Leo nilikua katika mishe mishe zangu kama mnavyojua jua la dar, ikanibidi nielekee beach kupunga Upepo kidogo. Nikapaki kibirit changu pembeni, nikatoka kwenye gari nikaa kwenye kivuli nikatoa sigara yangu nikaanza kuvuta taratibu huku nikitafakari maisha.
Kitu cha kushangaza na kustaajabisha, baada ya dakika kadhaa, nikashangaa nimenyewa na ndege, mavi meupee kwa haraka sikujua ni ndege gani. Ila kulikua na kunguru angani hivyo nikahisi bila shaka ni kunguru kaninyea
Nilishikwa na butwaa sana, nikashangaa maana space ni kubwa why aninyee. Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla. Ni kawaida au kuna kitu au ishara ya jambo fulani ?
Nimejikuta tu nakosa raha na kujiuliza endapo itakua tu ni kawaida au kuna ishara nyingine ya kiimani kuhusu tukio hilo
Tusaidiane mawazo
Sent from my iPhone using JamiiForums
