kununua usafiri kwa sh 6ml

kununua usafiri kwa sh 6ml

Ushauri wangu,

Waweza kukomaa na hiyo 6mil kwenye gari used but ukapata gari ambayo "life span " ishafikia mwisho kwa Bongo, au ndo inaishia ishia.

Lakini ukiongezea labda laki 5 unaagiza from Japan Toyota Passo kwa uvumilivu wa miezi isiyozidi miwili. Ingawa still ni used but wenzetu wanajali sana mambo ya service, pia wana utaalam nayo, tofauti na ukiokoa hiyo laki 5 but ukakumbana na kimeo ambacho kila gereji hapa mjini wanakijua!!
 
Ushauri wangu,

Waweza kukomaa na hiyo 6mil kwenye gari used but ukapata gari ambayo "life span " ishafikia mwisho kwa Bongo, au ndo inaishia ishia.

Lakini ukiongezea labda laki 5 unaagiza from Japan Toyota Passo kwa uvumilivu wa miezi isiyozidi miwili. Ingawa still ni used but wenzetu wanajali sana mambo ya service, pia wana utaalam nayo, tofauti na ukiokoa hiyo laki 5 but ukakumbana na kimeo ambacho kila gereji hapa mjini wanakijua!!

good advice
 
mkuu mimi nina Toyota Carina Ti namba B, For more information contact 0713 95 92 90
 
kwa ushauri wangu, si lazima uende show room kama unaweza vumilia kwa mwezi mmoja, cha kufanya ukiwa nyumbani kwako ingia kwenye website ya TRA pakua pricelist ili ujue kwa Gari utakayochagua utalipa kodi kiasi gani, kisha chagua gari unayotaka
 
nina toyota sprinter iko poa sana.nataka 6.5m tu
 
Ingia Be forward Select Toyota,Model weka Any price select frol Low to high,country weka Tanzania,port Dsm then Calculate utashangaa kuona gari hadi za CIF ya 1,200usd,kazi ni kwako!!
 
Ingia Be forward Select Toyota,Model weka Any price select frol Low to high,country weka Tanzania,port Dsm then Calculate utashangaa kuona gari hadi za CIF ya 1,200usd,kazi ni kwako!![/QUOTE
Kwa bei hiyo uchakavu lazima,plus ushuru wetu...jaribu kaka
 
Ingia Be forward Select Toyota,Model weka Any price select frol Low to high,country weka Tanzania,port Dsm then Calculate utashangaa kuona gari hadi za CIF ya 1,200usd,kazi ni kwako!!

hawa jamaa wa befoward wametusaidia sana wenye hela za kuunga kuagizia mandinga ya maana aisee,nawakubali sana
 
ImageUploadedByJamiiForums1388778444.222792.jpg

Hiyo hapo sasa kama upo serious nikupe namba
 
Nina Corolla 110 namba B bado ipo bomba. Kama upo serious niPM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom