Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

Mume anamsaidia mke. Na mke anamsaidia mume. Kama alianguka kwa kisukari manake mwili uliishiwa glucose akazimia ikaleta kifo. Either alitumia insulin halafu hakula chakula au hakutumia insuli kabisa. Usipotumia, mwili unaishiwa glucose. Ukitumia na usipokula, sukari inapungua mwilini. Mkewe alifanya jitihada gani kuhakiki anakuwa sawa sababu ana tatizo la kisukari? Especially sababu yeye ni mfano kwa wengi na alitakiwa aweke ndoa yake mbele zaidi?
Mmh we nawe kwani kifo kinazuilika?? Unaweza ukawa nae akakufia mikononi!
Anaeumba na kuchukua uhai ni Mungu pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DocJayGroup,

Usiwe mwepesi kuhukumu.... alikuwa known hypertensive on regular medication. Alijisikia ghafla akiwa na maumivu ya kifua na kushindwa kupumua.... likely heart attack ambayo hata wewe mkeo au mumeo can’t do nothing na hapa bongo heart attack ni highway to the grave kwa huduma za hospitali zetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mume anamsaidia mke. Na mke anamsaidia mume. Kama alianguka kwa kisukari manake mwili uliishiwa glucose akazimia ikaleta kifo. Either alitumia insulin halafu hakula chakula au hakutumia insuli kabisa. Usipotumia, mwili unaishiwa glucose. Ukitumia na usipokula, sukari inapungua mwilini. Mkewe alifanya jitihada gani kuhakiki anakuwa sawa sababu ana tatizo la kisukari? Especially sababu yeye ni mfano kwa wengi na alitakiwa aweke ndoa yake mbele zaidi?
Kuwa na ndoa iliyo na furaha na amani haimaanishi umepewa uwezo wa kuzuia mapenzi ya mwenyezi Mungu..punguzeni fikra ambazo sio nzuri kama una uwezo wa kuzuia mtu asife kakae hospital uwe mfano
 
Mmh we nawe kwani kifo kinazuilika?? Unaweza ukawa nae akakufia mikononi!
Anaeumba na kuchukua uhai ni Mungu pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anayejiua kwa kunywa sumu asingekunywa angekufa? Hiyo ni imani yako kwamba kifo hakizuiliki. Lakini sio kwamba watu wote wanaamini hivyo. Tuko tofauti, na imani tofauti.

Personally, naamini kuna uzembe sometimes unafanyika na mtu anakufa. Mfano mtu anazembea kwenda hospitali kupata tiba ya malaria halafu akifariki etii Mungu amemchukua. Ni sawa tu. Endelea kuamini hivyo hivyo. Sitaku-judge ila please don't judge me either.
 
Kuwa na ndoa iliyo na furaha na amani haimaanishi umepewa uwezo wa kuzuia mapenzi ya mwenyezi Mungu..punguzeni fikra ambazo sio nzuri kama una uwezo wa kuzuia mtu asife kakae hospital uwe mfano
Watu wanapenda sana kujipa moyo eti mapenzi ya mwenyezi Mungu wakati sometimes ni uzembe.

Mtu anayejiua kwa kunywa sumu asingekunywa angekufa? Hayo nayo ni mapenzi ya mwenyezi Mungu? Hiyo ni imani yako kwamba kifo hakizuiliki. Lakini sio kwamba watu wote wanaamini hivyo. Tuko tofauti, na imani tofauti.

Personally, naamini kuna uzembe sometimes unafanyika na mtu anakufa. Mfano mtu anazembea kwenda hospitali kupata tiba ya malaria halafu akifariki etii Mungu amemchukua. Ni sawa tu. Endelea kuamini hivyo hivyo. Sitaku-judge ila please don't judge me either.
 
Usiwe mwepesi kuhukumu.... alikuwa known hypertensive on regular medication. Alijisikia ghafla akiwa na maumivu ya kifua na kushindwa kupumua.... likely heart attack ambayo hata wewe mkeo au mumeo can’t do nothing na hapa bongo heart attack ni highway to the grave kwa huduma za hospitali zetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Likely a heart attack? Hakuna autopsy? Inatakiwa full autopsy ifanyike aisee. Hata kwa Tz is possible.
 
Usiwe mwepesi kuhukumu.... alikuwa known hypertensive on regular medication. Alijisikia ghafla akiwa na maumivu ya kifua na kushindwa kupumua.... likely heart attack ambayo hata wewe mkeo au mumeo can’t do nothing na hapa bongo heart attack ni highway to the grave kwa huduma za hospitali zetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Also sihukumu mtu mimi. Nafikiria tu vile ningependa huduma ifanyike kama imetokea kwangu au ndugu wa karibu.
 
Mtu anayejiua kwa kunywa sumu asingekunywa angekufa? Hiyo ni imani yako kwamba kifo hakizuiliki. Lakini sio kwamba watu wote wanaamini hivyo. Tuko tofauti, na imani tofauti.

Personally, naamini kuna uzembe sometimes unafanyika na mtu anakufa. Mfano mtu anazembea kwenda hospitali kupata tiba ya malaria halafu akifariki etii Mungu amemchukua. Ni sawa tu. Endelea kuamini hivyo hivyo. Sitaku-judge ila please don't judge me either.
Pumba tupu! Kojoa ukalale...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapenda sana kujipa moyo eti mapenzi ya mwenyezi Mungu wakati sometimes ni uzembe.

Mtu anayejiua kwa kunywa sumu asingekunywa angekufa? Hayo nayo ni mapenzi ya mwenyezi Mungu? Hiyo ni imani yako kwamba kifo hakizuiliki. Lakini sio kwamba watu wote wanaamini hivyo. Tuko tofauti, na imani tofauti.

Personally, naamini kuna uzembe sometimes unafanyika na mtu anakufa. Mfano mtu anazembea kwenda hospitali kupata tiba ya malaria halafu akifariki etii Mungu amemchukua. Ni sawa tu. Endelea kuamini hivyo hivyo. Sitaku-judge ila please don't judge me either.
Najua uko makini na kamwe hautokufa maana unajua kuzuia kifo, na wala ndugu zako maana unachukua tahadhari sana na hongera san
 
Back
Top Bottom