DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Naishi katika nchi ambayo adult mortality rate ni 3 out 1000 adults. Manake katika kila watu 1000 wanaokufa ni watatu. Kwa Tanzania, mortality rate ni 229 out of 1000. Manake katika kila watu 1000 - watu 229 wanakufa. Sasa mimi na wewe ni nani ambaye ana pointi za maana kuongea katika hili? Mimi nimepata exposure abroad ambayo wewe haujapata. Na nikijaribu kuwaelimisha mnaona utoto. Bakini hivyo hivyo tu sasa. Source ya hizo data ni UN statistics.Nijimazie isije ikawa na argue na katoto kangu kenye kanasubiri kuingia kidato cha tano, yaan utoto huu