rodrguez
Senior Member
- Apr 16, 2018
- 122
- 78
Yule sio mchaga n mapare wapo vzr kama wazaramoMmmh! Mchaga yule si atamfundisha mwali kusoma gazeti kweli? (kidding)
Yule sio mchaga n mapare wapo vzr kama wazaramoMmmh! Mchaga yule si atamfundisha mwali kusoma gazeti kweli? (kidding)
N shdahKama ni mpare basi kweli anafaa kwa hii shughuli maana hawavumi ila wamo
Mmmh! Mchaga yule si atamfundisha mwali kusoma gazeti kweli? (kidding)
Ah ah ah ahKama ni mpare basi kweli anafaa kwa hii shughuli maana hawavumi ila wamo
Unaamini hujui jinsi ya kuhandle mume?Anayefundisha wanawake jinsi ya kuhandle mume
Hehe makubwa, let me sleep.Nataka anifunze mauno tu, hayo mengine nayamudu vyema.
Siko siriaz bidada!!!Huu ni upotoshaji
UnajitafutiaNataka anifunze mauno tu, hayo mengine nayamudu vyema.
Huyo kufuri lilishazibuliwa na hebolaShukrani
Kama mimiHivi kungwi ni mtu gani?
Mrejesho best vipi ulipata? Bila shaka sahivi una uno la kiaskofu sio?Nataka anifunze mauno tu, hayo mengine nayamudu vyema.