zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,333
- 9,796
Anadonoa akili yako kidogo kidogo anenda kuiuza apate hela. Una akili nyingi sana mkuu?Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi