ni ukichaa....tena kaa nae mbali....anaweza kukung'ata mwehu huyo.....
Kuna watu wagumu sana kuelewa...unamkatia simu...bado anapiga tuuuu..anapiga tuu..ukimwambia nipo busy...anakwambia haya kazi njema...sms kila mara..ukimjibu jamani nimekwambia tuachane...hakieleweki...
Mtu humpendi hata chembe, on top of that keshakuzengua..unamtamkia mara kibao..jamani tuachane lakini yeye analilia kila siku..kibaya zaidi anatishia kujidhuru..nini hii??? Ugonjwa..utumwa?????
Mtu humpendi hata chembe, on top of that keshakuzengua..unamtamkia mara kibao..jamani tuachane lakini yeye analilia kila siku..kibaya zaidi anatishia kujidhuru..nini hii??? Ugonjwa..utumwa?????
ni ukichaa....tena kaa nae mbali....anaweza kukung'ata mwehu huyo.....
mkaliwakitaa ni kile kitoto chenye joto ndio hukitaki,? kile cha miaka 20? au hili ni toleo la zamani?Mtu humpendi hata chembe, on top of that keshakuzengua..unamtamkia mara kibao..jamani tuachane lakini yeye analilia kila siku..kibaya zaidi anatishia kujidhuru..nini hii??? Ugonjwa..utumwa?????
mkaliwakitaa ni kile kitoto chenye joto ndio hukitaki,? kile cha miaka 20? au hili ni toleo la zamani?
kama humpendi kwa nini ulikua nae...wakati unamtongoza uliona unampenda..umemchezea saivi ndio unajidai humpendi...kuharibiana tu maisha na feelings za watu:mad2: