mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Mizenguo inapunguza mapenzi hata kama yapo kiasi gani..sasa hivi hayupo moyoni ..siwezi jilazimisha..unless nitakua namdangaya..sitaki mpotezea muda wake bure...
ndo tatizo la binadamu, kuna kuchokana. Unajiuliza huyu mtu ilikua haiwezi pita dakika bila kumuwaza lakini leo hii hata wiki inakata humfikirii...we're just being human beings i guess