well said! Umenikumbusha wasanii na watangazaji mahiri wa VOK(sasa KBC) baadhi yao wakiwa
- mzee pembe ambaye pia mwandishi wa pwagu na pwaguzi
-mzee tamaa
-baba zero
-mama tofi
-mama njeri
-otholo'ngo ngo danger
-mzee mombasa
-woriha
-makanyaga
watangazaji
-abdul haq
-kazungu katana
-mambo mbotela
-fred machoka(aka blackest man in black africa)
-eddy fondo etc
Hawa jamaa ndio walipaisha VOK.