Safi, hakuna mtu anayeweza kusema wanafunzi wa chuo fulani wasiapply, inawezekana baadhi ya wahitimu wa LLB Tumaini Univ. wameonyesha UPOPOPO wao kazini so jamaa wanaona ni kheri wawataarifu kabisaaa kuwa wasiapply au kuna ishu nyingine. Mi nashauri uongozi wa chuo chini ya Prof Bangu walifuatilie hili wajue kulikoni na pia wanachuo wawe serious jamani, tunajisahau sana katika masomo, starehe zimetutinga hatusomi na mwisho wa siku tunaingia na migi kwenye paper au hata kupewa paper ili ufaulu, kufaulu mitihani sio kigezo cha kujua masomo, unapokuwa kazini ndipo hapo hali huwa mbaya. Hii sio safi kabisa.