Kama waliyaweka humu yanatuhusu sisi membazMambo yao waachie wenyewe
JF kuna mengi uhalisia unaweza kugeuzwa geuzwaKipi hakikuwa kweli mkuu?
Hahahaha[mention]Mshana Jr [/mention] yeye wapenzi wake alikua anawafundisha fani ya uganga, walipojua wote wakamkimbia

Nipo hapaHajasikikie ngoja nikusaidie kumuita
Ndio hivyo. Ukimshobokea mpenzi wako na kuweka vikao vya kumsifia mbele za watu, sisi tutakupongeza sana na kuwatakia mema. Lakini siku popo likiamka, lazima tukuwekee kikao pia. Otherwise, stay and love in private.Kama waliyaweka humu yanatuhusu sisi membaz
Tulipofika njiapanda tukakubaliana mmoja aende kushoto mwingine kuliawewe na demiss nini kiliwapata mkuu?
Alaa walikuwa wanalakachuana hawaMbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
Yaani walifanya kumzunguka walipojua wakamshawishi aache uganga, akakubali na wateja wote akawaachia wapenzi wake heee kuja kushtuka mzee wetu anaona bora arudi zake kuendelea na fani yake usimwamini mwanamke , unaona delila aliyomfanyia samsoni, eva aliyomfanyia adam ni balaa



HAHAHHAAA
Mimi sasa ndio niliwageukaWanasema ulifundisha uganguzi wake harafu wakakugeuka

Roho mbaya.....Sauti za wadau zinasikika
Tulisema Wataachana tu
Wewe unafikisha.....Siyo mimi ni sauti za wadau