Kuna yeyote aliyewahi kusamehewa Deni la SONGESHA? Nahisi kuingizwa kwenye 18 zao

Mwaka jana mwezi wa tatu nilipokuwa nafanya muamala wa M-Pesa nilijikuta nimekopa hela ya nyongeza kutoka SONGESHA ili kukamilisha muamala kwani nilipungukiwa na sikuwa na namna nyingine zaidi ya kukopa.

Nilizoea kukopa na kulipa kwa wakati, lakini baada ya kukopa tena mwezi wa tatu mwaka jana nilishindwa kulipa maana uchumi ulienda kinyume na uchumi wa nchi.

Niliamua kuzitekeleza huduma zote za mtandao wa Vodacom Tanzania ila laini ilibaki tu kuwa hewani, nilihamia mtandao wa Halotel.

Muda ukaendelea kuyoyoma dalili za kulipa deni zikawa hazionekani, SONGESHA wakaanza kudai deni lao. Kila siku nikawa natumiwa sms zaidi ya mara tatu kwa siku kukumbushwa kulipa. Moyoni nikawa najisemea hawa watakoma kunikopesha.

Mwaka ukaisha, ukaingia mwaka huu bado sijalipa deni.

Sasa kuanzia January mwaka huu, SONGESHA wameanza kunitaarifu kuwa wamenisamehe deni lao kwa mjibu wa sms hii
Habari, Makato ya SONGESHA kwenye Akaunti yako yameondolewa. Sasa utaweza kupokea na kuweka hela kwenye Akaunti yako bila kukatwa hela yoyote. Piga *150*00# ambayo wananitumia mara kwa mara.

Juzi niliweka 100 M-Pesa ili nione kama wataikata au la, hawakuikata. Lakini nina hofu huenda kwa sababu ni ndogo haiwezi kukidhi deni lao la Tsh 19,997/= ambalo wananidai.

Nikiangalia salio la deni la SONGESHA bado linaonekana, halijafutwa kama kweli wamenisamehe jinsi wanavyonijulisha.

Nikiangalia pia kiwango ninachoweza kukopa tena, kinaonekana ni buku moja tu ila wananiambia siwezi kukopeshwa kwa sababu bado sijalipa deni lililopita.

Nyie Vodacom Tanzania mimi ni mteja wenu mkongwe lakini hamuwezi kuniingiza kwenye 18 zenu kiboya hivi, acheni kujisumbua na sms zenu, deni lenu sijui nitawalipa lini.
kuna watu asilimia kubwa wana tabia za kijinga kama za kwako. unakopa halafu unatafuta visingizio vya kutokulipa. shilingi 19,997. unakimbi deni
unasababisha wenzio waonekane wahuni na wasiaminike
hii hulka wala siyo suala la uwezo
Yaani Tsh 19,997 unashindwa kulipa?? Tukikukopeha milioni si utahama dunia uamie mars

Vodacom Tanzania
jamaa bogus sana
 
Mimi wananidai kwenye huduma zao zote m-pawa, songesha na nipige tafu na sijawahi kuwalipa huu mwaka wa 4

Mwanzoni walianza kunitafuta kwa kunipigia simu nikawa nawapa ahadi hewa mwisho wa siku naishia mitini.

Walivyoona silipi wakaanza kunitumia meseji za kunishawishi nilipe eti wataniongezea kiasi cha kukopa. Bado sikuwalipa

Wakaanza kunitumia meseji za kutishia kunikamata. Bado sikuwalipa

Wakaja na meseji zingine za vitisho eti wataniorodhesha kwenye orodha ya wadaiwa sugu kisha taarifa zangu wazitume kwenye taasisi kubwa kubwa za kifedha ili nisikopeshwe.

Yaani mimi huyu mdaiwa sugu niliyewapiga chenga ya mwili HESLB wasijue nilipo wakaishia kuchapisha jina langu kwenye gazeti kwamba ni mdaiwa sugu, leo ndo wakupewa tena vitisho vya namna hiyo?HAHAHA nilicheka sana.

baada ya kuona mbinu zao zote zimefeli, kama wiki mbili zilizopita wakaanza kunitumia meseji za namna hiyo eti tumekutolea makato ya Songesha sasa unaweza kufanya miamala ya m-pesa bila makato yoyote. Nikaona kumbe hawa voda ni washenzi wanafikiri mimi ni mjinga wa kuingizwa mkenge kirahisi hivyo? nikafuta hiyo meseji na kila walipokuwa wakinitumia nafuta tena

walivyoona meseji wanazonitumia nazifuta wameanza kunipigia simu kabisa kunijulisha kuondolewa kwa makato ya songesha. Bado nawachora tu

Sasa jana wakajifanya kunitumia gawio kwenye m-pesa walivyo wahuni hadi muda huu hawajakata eti ili niamini kwamba kweli wamenitolea makato ya songesha. Sijui wanafikiri mimi ni kilaza wa kunitega kitoto hivyo? Sitegeki Ng'o

niwambie tu nyie @vodacomTanzania mimi sitegeki kirahisi namna hiyo tafuteni mbinu nyingine. Na Kwa taarifa yenu sina mpango wa kulipa deni hata moja kama hamtaki kunifutia madeni ili niendelee kutumia huduma zenu acheni alafu tuone nani anapata hasara kati yangu na nyie kwa sababu laini ya voda siwekei vocha, sifanyii miamala ni laini naitumia kwaajili ya kupigiwa tu.

sasa nyie jifanyeni mnajua sana kudai kumbe mnaua kampuni taratibu kwa kufukuza wateja.
 
Mwaka jana mwezi wa tatu nilipokuwa nafanya muamala wa M-Pesa nilijikuta nimekopa hela ya nyongeza kutoka SONGESHA ili kukamilisha muamala kwani nilipungukiwa na sikuwa na namna nyingine zaidi ya kukopa.

Nilizoea kukopa na kulipa kwa wakati, lakini baada ya kukopa tena mwezi wa tatu mwaka jana nilishindwa kulipa maana uchumi ulienda kinyume na uchumi wa nchi.

Niliamua kuzitekeleza huduma zote za mtandao wa Vodacom Tanzania ila laini ilibaki tu kuwa hewani, nilihamia mtandao wa Halotel.

Muda ukaendelea kuyoyoma dalili za kulipa deni zikawa hazionekani, SONGESHA wakaanza kudai deni lao. Kila siku nikawa natumiwa sms zaidi ya mara tatu kwa siku kukumbushwa kulipa. Moyoni nikawa najisemea hawa watakoma kunikopesha.

Mwaka ukaisha, ukaingia mwaka huu bado sijalipa deni.

Sasa kuanzia January mwaka huu, SONGESHA wameanza kunitaarifu kuwa wamenisamehe deni lao kwa mjibu wa sms hii
Habari, Makato ya SONGESHA kwenye Akaunti yako yameondolewa. Sasa utaweza kupokea na kuweka hela kwenye Akaunti yako bila kukatwa hela yoyote. Piga *150*00# ambayo wananitumia mara kwa mara.

Juzi niliweka 100 M-Pesa ili nione kama wataikata au la, hawakuikata. Lakini nina hofu huenda kwa sababu ni ndogo haiwezi kukidhi deni lao la Tsh 19,997/= ambalo wananidai.

Nikiangalia salio la deni la SONGESHA bado linaonekana, halijafutwa kama kweli wamenisamehe jinsi wanavyonijulisha.

Nikiangalia pia kiwango ninachoweza kukopa tena, kinaonekana ni buku moja tu ila wananiambia siwezi kukopeshwa kwa sababu bado sijalipa deni lililopita.

Nyie Vodacom Tanzania mimi ni mteja wenu mkongwe lakini hamuwezi kuniingiza kwenye 18 zenu kiboya hivi, acheni kujisumbua na sms zenu, deni lenu sijui nitawalipa lini.
Dawa ya deni ni kulipa mkuu, wanaweza kukusagia kunguni ukawa mdaiwa sugu
 
Mimi wananidai kwenye huduma zao zote m-pawa, songesha na nipige tafu na sijawahi kuwalipa huu mwaka wa 4

Mwanzoni walianza kunitafuta kwa kunipigia simu nikawa nawapa ahadi hewa mwisho wa siku naishia mitini.

Walivyoona silipi wakaanza kunitumia meseji za kunishawishi nilipe eti wataniongezea kiasi cha kukopa. Bado sikuwalipa

Wakaanza kunitumia meseji za kutishia kunikamata. Bado sikuwalipa

Wakaja na meseji zingine za vitisho eti wataniorodhesha kwenye orodha ya wadaiwa sugu kisha taarifa zangu wazitume kwenye taasisi kubwa kubwa za kifedha ili nisikopeshwe.

Yaani mimi huyu mdaiwa sugu niliyewapiga chenga ya mwili HESLB wasijue nilipo wakaishia kuchapisha jina langu kwenye gazeti kwamba ni mdaiwa sugu, leo ndo wakupewa tena vitisho vya namna hiyo?HAHAHA nilicheka sana.

baada ya kuona mbinu zao zote zimefeli, kama wiki mbili zilizopita wakaanza kunitumia meseji za namna hiyo eti tumekutolea makato ya Songesha sasa unaweza kufanya miamala ya m-pesa bila makato yoyote. Nikaona kumbe hawa voda ni washenzi wanafikiri mimi ni mjinga wa kuingizwa mkenge kirahisi hivyo? nikafuta hiyo meseji na kila walipokuwa wakinitumia nafuta tena

walivyoona meseji wanazonitumia nazifuta wameanza kunipigia simu kabisa kunijulisha kuondolewa kwa makato ya songesha. Bado nawachora tu

Sasa jana wakajifanya kunitumia gawio kwenye m-pesa walivyo wahuni hadi muda huu hawajakata eti ili niamini kwamba kweli wamenitolea makato ya songesha. Sijui wanafikiri mimi ni kilaza wa kunitega kitoto hivyo? Sitegeki Ng'o

niwambie tu nyie @vodacomTanzania mimi sitegeki kirahisi namna hiyo tafuteni mbinu nyingine. Na Kwa taarifa yenu sina mpango wa kulipa deni hata moja kama hamtaki kunifutia madeni ili niendelee kutumia huduma zenu acheni alafu tuone nani anapata hasara kati yangu na nyie kwa sababu laini ya voda siwekei vocha, sifanyii miamala ni laini naitumia kwaajili ya kupigiwa tu.

sasa nyie jifanyeni mnajua sana kudai kumbe mnaua kampuni taratibu kwa kufukuza wateja.
Hadi id yako ni mdaiwa sugu
 
kuna watu asilimia kubwa wana tabia za kijinga kama za kwako. unakopa halafu unatafuta visingizio vya kutokulipa. shilingi 19,997. unakimbi deni
unasababisha wenzio waonekane wahuni na wasiaminike
hii hulka wala siyo suala la uwezo

jamaa bogus sana
Bado hayajakukuta, Omba Mungu yasikukute.

Ahsante!
 
Mimi wananidai kwenye huduma zao zote m-pawa, songesha na nipige tafu na sijawahi kuwalipa huu mwaka wa 4

Mwanzoni walianza kunitafuta kwa kunipigia simu nikawa nawapa ahadi hewa mwisho wa siku naishia mitini.

Walivyoona silipi wakaanza kunitumia meseji za kunishawishi nilipe eti wataniongezea kiasi cha kukopa. Bado sikuwalipa

Wakaanza kunitumia meseji za kutishia kunikamata. Bado sikuwalipa

Wakaja na meseji zingine za vitisho eti wataniorodhesha kwenye orodha ya wadaiwa sugu kisha taarifa zangu wazitume kwenye taasisi kubwa kubwa za kifedha ili nisikopeshwe.

Yaani mimi huyu mdaiwa sugu niliyewapiga chenga ya mwili HESLB wasijue nilipo wakaishia kuchapisha jina langu kwenye gazeti kwamba ni mdaiwa sugu, leo ndo wakupewa tena vitisho vya namna hiyo?HAHAHA nilicheka sana.

baada ya kuona mbinu zao zote zimefeli, kama wiki mbili zilizopita wakaanza kunitumia meseji za namna hiyo eti tumekutolea makato ya Songesha sasa unaweza kufanya miamala ya m-pesa bila makato yoyote. Nikaona kumbe hawa voda ni washenzi wanafikiri mimi ni mjinga wa kuingizwa mkenge kirahisi hivyo? nikafuta hiyo meseji na kila walipokuwa wakinitumia nafuta tena

walivyoona meseji wanazonitumia nazifuta wameanza kunipigia simu kabisa kunijulisha kuondolewa kwa makato ya songesha. Bado nawachora tu

Sasa jana wakajifanya kunitumia gawio kwenye m-pesa walivyo wahuni hadi muda huu hawajakata eti ili niamini kwamba kweli wamenitolea makato ya songesha. Sijui wanafikiri mimi ni kilaza wa kunitega kitoto hivyo? Sitegeki Ng'o

niwambie tu nyie @vodacomTanzania mimi sitegeki kirahisi namna hiyo tafuteni mbinu nyingine. Na Kwa taarifa yenu sina mpango wa kulipa deni hata moja kama hamtaki kunifutia madeni ili niendelee kutumia huduma zenu acheni alafu tuone nani anapata hasara kati yangu na nyie kwa sababu laini ya voda siwekei vocha, sifanyii miamala ni laini naitumia kwaajili ya kupigiwa tu.

sasa nyie jifanyeni mnajua sana kudai kumbe mnaua kampuni taratibu kwa kufukuza wateja.
Tupe mbinu uliyowachomolea HESLB mkuu
 
Mkuu usijsribu..walinivuta kwa style hiyo mwsho wa siku nimetumiwa ki 20 changu cha ngama wakakibeba aise3. Hadi leo najaribu kusongesha wananikatalia hahaha!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Na mimi siku wakinipata na kurejesha deni lao, sijui kama watanikopesha tena.

Mwaka unatimia sasa sijalipa deni!
 
Geopoll ndio nini mkuu?
Geopoll ni app ya kujibu survey wanakupa vocha, nyingine inaitwa premise zote zipo play store
Screenshot_2021-02-16-15-45-57-97.jpg
 
Kwa dizain hii uchumi wa kati wa juu itaaendelea kuwa hadithi,

Yaani mtu anatokomea na 20,000Tsh. Yaani uaminifu ni negative kbs

Ss kwa dizain hii, mabenki yatapata wapi ujasiri wa kukopesha mitaji ya biashara bila dhamana? Yaani wabongo hawakopesheki kbs
 
Kwa dizain hii uchumi wa kati wa juu itaaendelea kuwa hadithi,

Yaani mtu anatokomea na 20,000Tsh. Yaani uaminifu ni negative kbs

Ss kwa dizain hii, mabenki yatapata wapi ujasiri wa kukopwsha mitaji ya biashara bila dhamana? Yaani wabongo hawakopesheki kbs
Kwa Dunia ya leo, hakuna kuamini mtu hata kidogo, ingawa waaminifu bado wapo!
 
Hata AIRTEL (TIMIZA) wana huo utaratibu wa kusahamee madeni.

Mi nadaiwa 35,000 tokea mwaka 2018, ilienda kama wewe mwisho wa siku waliniambia kuwa lipa taratibu deni hakitokatwa kwenye akaunti yako. Mpaka uamue mwenyewe kulipa. Hata TIGO (niwezeshe) nako pia hivyo hivyo.

Ila nilipojaribu fuatilia niliambiwa hivi:-

Kuna kampuni inaitwa (JUMO) hawa ndio wanaohusika maswala ya kukopesha/mikopo kwenye hii mitandao ya simu.

Hivyo unapokopa unaikopa JUMO na sio voda airtel au Tigo.

Sasa hawa JUMO ilifikia kipindi walibadilishiwa sheria kutoka kwenye mitandao husika yaani hao Airtel Tigo na Voda.

Ya kutoruhusiwa kuiingilia akaunti ya mteja na kukata ela ni mpaka mteja mwenyewe atakapo amua kulipa DENI lake.

sina hakika lakini
Hicho kitu unachokishema nimewahi kusikia kwa mwanasheria mmoja aliniambia kimsingi huu utaratibu wao bado unazo dosari nyingi sana
 
Back
Top Bottom