Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
- Thread starter
- #41
Ndio haya mambo ya dharura ukiwa na matumaini mazuri ya baadaye lakini mambo yanabadilika bila kutarajia, hadi tunafikia hatua hiiUkwel hata mm hivohivo, unajua walionivuruga n tamisemi, walipotangaza kuhusu dirisha la kuomba ajira ikabidi nianze kufukuzia vyeti vyangu, yan kusafiri tu ilinicost sana ndo nikaingia kwa songesha nikasukuma elfu 19,000. Aiseee nimerud sina chanzo cha kuwalipa. Mpk now natamn kuwalipa ila ndo hivo tena sina hela tena. Wanisamehe tuuuu. Nitawalipa voda naipenda