Wadau hivi tetesi ni ya kweli na kama ni ya kweli ni waziri yupi na mbunge yupi?
mkuu si vibaya kusubiri kipindi kiishe, yani wewe kusikia title tu basi ushakurupuka???
una uhakika gani kwamba wapi?
Sio Tanzania.
hata kama ikiwa ni kweli kwani kuna ubaya gani? mbona nyie mnaangalia mkiwa maofisini kwenu hatusemi. mbona mnatufuatilia fuatilia sana wakuu; tunajitaji kupumua dah..Wadau hivi tetesi ni ya kweli na kama ni ya kweli ni waziri yupi na mbunge yupi?
Wadau hivi tetesi ni ya kweli na kama ni ya kweli ni waziri yupi na mbunge yupi?
Mileage inarudishwa nyuma wewe etii imesoma sana we nawe mbwiga kweli ndo nyie inabidi uwekewe vidole nyuma ndo isimame huoni haya kuvaa suruali si uvae sketi tuu uitwe antiii!!!!!
Confirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!