Ndio najitahidi na mimi kutafuta info ila kama kuna mtu anainfo kuhusu inshu hii aimwage
Holy ghost!!
Kwa hiyo unamsubiria kwa haaaaaaaaamu, Milliard Ayo akujuze ndo uje utujuze? Kwa vile ni Redio ya magamba, sidhani kama atawataja kwa majina yao!!
Confirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!
Niliposikia habari hii nilijua tuu lazima watakuwa wabunge wa CCM maana wao ndio ambao sio makini na hawaheshimu muda wa kutumikia waajiri wao yaani wananchiConfirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!