Kuna wazee walionunuliwa tayari

Kuna wazee walionunuliwa tayari

Ila maisha ya bongo sasahivi ni kama movie za Mission/Action
 
Kulingana na press ya mwisho ya slowslow anasema kuna wazee ambao walikua na misimamo ila nao washalambishwa asali, baada ya uchaguzi watasimamia maridhiano ya kitaifa ili kuhalalisha yaliyotokea yote.

Na moja ya mzee huyo jana kaonyesha kweli kalamba asali, na siku za nyuma polepole alishawahi kusema huyo mzee na mwingne kama wawili hivi ndio kama walezi wake.

Je?! inawezekana wazee/Mzee huyo baada ya kulamba asali alikua anajua location alipo bwana slowslow akamuuza??
Hakuna asali wala nini madudu yao yanajulikana wametembelewa tu, mnataka kupindua serikali? ujumbe umewafikia na wametaja mpaka walikomficha Haraka Haraka ndio umeona kadakwa. jiongeze
 
Inaonekana hata wengine waliolalamima ni kwavile hawamo kwenye buyu la asali...

Sasa wazee wote wadumbukizwe kwenye buyu la asali halafu atakaetoa mlio wa kukemea akiwa ndani ya buyu la asali ndo mzalendo wa kweli. Au mnasemaje wadau
Hakuna mzalendo nchi na point yako ni 100% ni kuwa tupo nje ya buyu la asali ndio kelele hizi, hata hao wasanii wengine unasikia kelele ni kuwa tu wako nje ya buyu....
 
Kauzwa, wabongo wengi tuna tamaa ya hela na umaskin ni shida, TUJITAFAKARI kwa mfano mimi natafutwa na wanamtandao, hawajui nilipo, wewe ni mzee wangu mlezi,wakakuwekea begi la b5 mezani utaje location tu nilipo utakataa kweli?
Hili swali linafaa waulizwe wachaga sisi wakurya halituhusu 😀😀
 
Back
Top Bottom