Nightangale
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 265
- 2
Nawachukia sana wanafiki, kutoka moyoni! siwezi kuelezea chuki yangu kwa binadamu wa namna hii lakini NAWACHUKIA.
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
do not trust anybody but yourself
Pole dada.. siku nyingine usiamini sana rafiki/marafiki..
Love everybody, trust no body.
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
Hivi does it mean kwamba ukimuamini rafiki ndio anakubetray..... Mtu yoyote anaweza akakufanyia jambo baya, but it pains when it comes from a friend... Hata usipomuamini mtu anaweza akaku-stab in the back, akakusingizia, akasema uongo kuhusu wewe, akakuibia kitu chako n.k. the list is endless... Trust or no Trust...
Cha maana ni sisi kutowatendea watu mabaya Friends or No Friends Cause...."Whats Goes Around Comes Around.."
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
Hapo ndo umerudi kwenye principle ya maisha yangu:
Love everybody, trust no body. Love everybody inamaana kubwa sana ni silaha ya kutokuwatenda watu wengine.
Ni kweli kabisa gaga tusiishie kulaumu wenzetu tujiangalie pia tumefanya nini mpaka tunakosewa kila siku, na mtu mkosaji wakati mwingine anaweza ona hana makosa kumbe yeye ndio chanzo, pole lizzy, nakutakia uwe makini na marafiki zako, mie pia nina marafiki zangu kutwa huwa wana la kuongea juu yangu nimejiuliza sana nakosea wapi sijapata jibu, namwachia Mungu ndieanaeweza kujaji nani mkosajiLizzy marafiki zako huwa wana kubetray sana, embu kaa chini na wewe ujiangalie upya labda kuna mahala unakoseaunaweza ukawa unaona unasalitiwa kila kukicha na marafiki, kumbe tatizo umelikumbatia mwenyewe, mwisho wa siku unajikuta huna rafiki hata mmoja sababu hukujua wapi unakosea, jaribu kuchunguza na hili lizzy. atukirudi katika hali ya kawaida ni kweli unaweza ukawa na marafiki kila kukicha wanakutenda wewe tu hadi unajiuliza una mkosi gani, nafikiri tuwe makini sana wakati tunachagua tuwe na rafiki wa aina gani, coz mwisho wa siku ndio inaishia kama hivi
True MTMdont take life too serious my dear, it screws everyone!!!:music: