mtoto wa mfugaj Senior Member Joined Jul 18, 2011 Posts 136 Reaction score 29 Aug 21, 2011 #1 Usingizi popote bwana Attachments sleeping-in-weird-places.jpg 17.3 KB · Views: 389
B Bajabiri JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 9,728 Reaction score 1,214 Aug 21, 2011 #2 Aaaa,,
Babkey JF-Expert Member Joined Dec 10, 2010 Posts 4,838 Reaction score 3,674 Aug 21, 2011 #3 Huhuuuu!!
Mnyamahodzo JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 1,941 Reaction score 1,011 Aug 21, 2011 #4 Huyo hajalala, ni vituko tu. Huwezi kulala kwenye tairi mkono ukawa tenge(diagonal) huku umeshikilia nut kwa juhudi hivyo. Isitoshe, hebu angalia miguu inavyochechemea. Miguu ilibidi iwe inaning'inia au inagusa chini kabisa.
Huyo hajalala, ni vituko tu. Huwezi kulala kwenye tairi mkono ukawa tenge(diagonal) huku umeshikilia nut kwa juhudi hivyo. Isitoshe, hebu angalia miguu inavyochechemea. Miguu ilibidi iwe inaning'inia au inagusa chini kabisa.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,842 Reaction score 13,807 Aug 21, 2011 #5 Huyu jamaa anajipenda kweli?
mtoto wa mfugaj Senior Member Joined Jul 18, 2011 Posts 136 Reaction score 29 Aug 21, 2011 Thread starter #6 jamaa kalala kweli lakini funguo za gari anazo kibindoni aliziweka baada ya keroro kuzidi.tehe tehe tehe
jamaa kalala kweli lakini funguo za gari anazo kibindoni aliziweka baada ya keroro kuzidi.tehe tehe tehe
Kwamex JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 378 Reaction score 96 Aug 21, 2011 #7 Dah! Jamaa mfilipino nini? Naona tairi za gari zimechokachoka kibongobongo.
africa6666 JF-Expert Member Joined Aug 18, 2008 Posts 281 Reaction score 53 Aug 22, 2011 #8 Sasa hiii kali hapo tu kalala kama yy ndo dereva inakuwaje? si ajali kibao tu
Kivumah JF-Expert Member Joined Jan 7, 2008 Posts 2,427 Reaction score 1,061 Aug 22, 2011 #9 ..Ulevi Nouuuma
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 416 Aug 22, 2011 #10 Nadhani anajitahidi kujiepusha na popo bawa...!!!
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,201 Aug 22, 2011 #12 Huyu jamaa lazima ndiye atakuwa alimgawia Wasira robo ya usingizi wake
Kibukuasili JF-Expert Member Joined May 15, 2010 Posts 1,053 Reaction score 616 Aug 22, 2011 #13 Swaumu hiyo!
wende JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 714 Reaction score 67 Aug 22, 2011 #14 this is too much!
Engager JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 1,595 Reaction score 3,426 Aug 22, 2011 #15 He is simply dead
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 Aug 23, 2011 #16 huyo hajalala amkufa
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Aug 23, 2011 #17 sijui ni mlinzi jamaa