mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Majogoo yapo aina nyingi.. Wewe ni KUCHI..au vile vijogoo vidogo vya KABUKU?Mimi nijogoo
Majogoo yapo aina nyingi.. Wewe ni KUCHI..au vile vijogoo vidogo vya KABUKU?Mimi nijogoo
NitakujaMiss Chagga upo? mbona umefunga PM bana?
Mkuu humu tunachokifanya huwa tuna uhakika nachoUna uhakika?
Mkuu sihitaji kiki. Nilizonazo zinanitoshaha aha hahaaa,JF bana...jamaa ka`kick baada ya kulalamika naona uzi wake unaenda tu!
Mimi ni lile la zambiaMajogoo yapo aina nyingi.. Wewe ni KUCHI..au vile vijogoo vidogo vya KABUKU?
Mke ninae ila yupo masomoni nje ya nchi.Una Mke Lakini Mgeni???
Ushirikiano upi mkuu
Unataka ushirikiano upi mkuu?
Karibu sana mgeni japo umekurupuka kuingia bila kusoma kile kibao mlangoni mpaka umeingia na viatu.!Wakuu tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
Kwa mwandiko wake nahisi itakuwa "biriani"Kabla hatujakupa utaratibu hembu tuambie wewe ni Jogoo au Mtetea?
Pia nikukumbushe tu sa hivi taratibu zimebadirika hivyo unapaswa kuja na barua ya utambulisho kutoka kwenu Koromije, pia uje na passport size 6 na uwe na wadhamini 3,Tatizo sina ninalojua yani ndio kwanza. Hata hiyo private messages Sifaham inafungwa vipi au kufunguliwa vipi
Hivi mtihani wa frm 6 umeisha ahh kweli.anataka ushirikiano ajue Pm zinatumikaje, anafikaje, na mitongozo isimpitie mbali...
mimi nimemuelewa sana tu!
Bado mkuuHivi mtihani wa frm 6 umeisha ahh kweli.
Salimia opposite na LAPF MILLENIUM TOWERSNitakuja