Kuna watu wana upendeleo humu

ha aha hahaaa,JF bana...jamaa ka`kick baada ya kulalamika naona uzi wake unaenda tu!
 
Wakuu tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
Karibu sana mgeni japo umekurupuka kuingia bila kusoma kile kibao mlangoni mpaka umeingia na viatu.!
By the way jiskie huru humu utapata kila kitu kuanzia mme, mtoto, na hata ukifa majeneza yapo ya kisasa tena kwa bei nafuu,
Ukinunua mawili unapewa nyongeza ya jeneza moja la mtoto karibu kuna mkeka hapa njoo uukalie.
 
Pia mgeni kama una njaa zunguka huko nyuma ukapakuliwe maana ushalipiwa tayari.
 
Tatizo sina ninalojua yani ndio kwanza. Hata hiyo private messages Sifaham inafungwa vipi au kufunguliwa vipi
Pia nikukumbushe tu sa hivi taratibu zimebadirika hivyo unapaswa kuja na barua ya utambulisho kutoka kwenu Koromije, pia uje na passport size 6 na uwe na wadhamini 3,
 
fafanua aina gani ya ushirikiano unataka mkuu.......cz upo wa aina nyingi
ca74608802ceba95afa69185fa09b737.jpg
 
Back
Top Bottom