Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,050
- 2,896
Nimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
Sawasawawakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
Nimetoa FB MKUULipia tangazo
Mwanamke huyo, si umeona kucha lake hiloNimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
View attachment 3482005
Kivipi mkuuWatakatisha fwedha hao bablai
Hizo hela zinatafutwa wapi boss?Utakufa na sonono....
Dili na yako ,,,,,
Kuna watu wanaingiza over 1B per month, hio 3m si ni hela ya mchepuko tu ya vocha ? Achilia mbali hiyo bili unayoshangaa ?
Wazee tutafute hela
Hela ya kawaida tu sema pesa ya Tanzania haina thamani.Nimetoa FB tena ya mwezi huu tarehe za mwishoni aisee wakuu si mnisaidie hela ya mlo mmoja tu usiku 😳
View attachment 3482005
Yeah indeedMtu anatumia kulingana anavyoingiza
Popote boss,,, njia halali !Hizo hela zinatafutwa wapi boss?
Unalinganisha US na TZ....Hela ya kawaida tu sema pesa ya Tanzania haina thamani.
Hiyo pesa haijafika hata US $1,500.
Weekend iliyopita tumeenda dinner ya familia bill imepita kidogo kama $ 1,000 na kalipa mtu mmoja tu.
Mtu wa kawaida tu wala si wa mashauzi.
Hajapiga picha wala ku post kwa sababu we do this regularly.