Ile avatar uliyoitoa nilikuwa naipenda sana mwaya.Huyu mmiliki angetokea hapa Tanzania ningemshukuru sanaView attachment 960274
Unaogopa
Muisrael mjanja sanaMzungu ni shida tupu,Waisrael wakisikia kuna mtu amegundua ndege au teknolojia kubwa tofauti na ile waliyonayo huwa wanaenda kuinunua ndege hiyo na kisha wanaenda kuifungua yote...from there wanaiongezea vitu vichache then wanaiingiza sokoni so,mbunifu wa awali ndege au teknolojia yake haitaweza kushindana na ile ya Muisrael...hapo ndipo tunapoachwa!
Ingekua kibongobongo ungefanyaje?
Hata bongo mambo hayo yapo mzeeIngekua kibongobongo ungefanyaje?
Huyu mmiliki angetokea hapa Tanzania ningemshukuru sanaView attachment 960274
Ukute amewaandalia risasi akapunguza wezi mjini kwamaana watakao jumuika watakuwa wengiHuyu mmiliki angetokea hapa Tanzania ningemshukuru sanaView attachment 960274