Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Kiukweli uyo j wako,anaendekeza ushoga Sana jaman,khaaa na ni Swahili hasaaa...mana sio kwa mashoga hao wanaokuja na kuchukua bia mezani ,adi nyamachoma...hao sio mashoga jamani....mashangingi haswaaa
Sio mashoga wakike TU,
Kuna Hadi vijana wakiume walikua wote pale mezani, na wote walikula kwa bill yangu. Upuuzi wa Hali ya juu sana
 
Hadith za shigongo
.

Ukiwa na akili hata kidogo, story nying za huyu jamaa Ni kusadikika. Ingawa anajaribu kuzipa uhai wa uhalisia.

Hasa ambavyo anatuma na ushahidi wa majibizano ya simu (ambayo ni fake pia). (Anatumia Simu kitochi-mama jay- kutuma sms kwenda kwa smartphone).

Kuna Sehem mama Jay kaenda choon Mara mbili wakat hajamaliza Ile Savanna moja. We umeona Wap?.

Mama Jay anaishi mwenyewe Ila kila siku anamaliza mkate mmoja. Maana ndan ya siku 3(alhamisi, ijumaa na jumamosi) zinazofuatana Jamaa kaenda kwa mangi kununua mikate.

Kuagiza Amarura 4 kwa wakat mmoja, we umeona Wap.

Unaenda kwa mwanamke unaoga tu, unaacha Kodi ya meza.


Mama Jay huyu huyu ambae sikumbuk Kama nyuma alikuwa anakazi.
Maana kutwa nzima Ni kulewa na shosti ake. Mara kulipiwa Kodi. Mara anakataa elfu 5 ya chakula. Leo hii eti amekuwa supervisor anapewa aka process cheque ya mill 2 na anaenda nayo nyumban bila kuwatumia wenzake.


Anyway, jamaa ni mtunzi mzuri. Ana weza kuipa uhai story yoyote.
 
Bora ungeenda Mawasiliano Park ungegawa elfu 30 kwa Bendi. Ungerushwa jina Papaa DeepPond Mutu ya Watu, mume ya Mama J baada ya kutajwa Mama Kabungo,Rahabu na Majinjah.
Rahabu yule demu ana masifa sana!! Yani mkikaa nae sehemu lazima afanye juu chini ili ujue kwamba ye ni mtoto wa Majinjah

Me huwa namjoboa sana mpaka ananimind coz namjua since mdogo dito kabisa😀😀
 
.

Ukiwa na akili hata kidogo, story nying za huyu jamaa Ni kusadikika. Ingawa anajaribu kuzipa uhai wa uhalisia.

Hasa ambavyo anatuma na ushahidi wa majibizano ya simu (ambayo ni fake pia). (Anatumia Simu kitochi-mama jay- kutuma sms kwenda kwa smartphone).

Kuna Sehem mama Jay kaenda choon Mara mbili wakat hajamaliza Ile Savanna moja. We umeona Wap?.

Mama Jay anaishi mwenyewe Ila kila siku anamaliza mkate mmoja. Maana ndan ya siku 3(alhamisi, ijumaa na jumamosi) zinazofuatana Jamaa kaenda kwa mangi kununua mikate.

Kuagiza Amarura 4 kwa wakat mmoja, we umeona Wap.

Unaenda kwa mwanamke unaoga tu, unaacha Kodi ya meza.


Mama Jay huyu huyu ambae sikumbuk Kama nyuma alikuwa anakazi.
Maana kutwa nzima Ni kulewa na shosti ake. Mara kulipiwa Kodi. Mara anakataa elfu 5 ya chakula. Leo hii eti amekuwa supervisor anapewa aka process cheque ya mill 2 na anaenda nayo nyumban bila kuwatumia wenzake.


Anyway, jamaa ni mtunzi mzuri. Ana weza kuipa uhai story yoyote.
mkuu,
Utakua umeanza kufatilia habar za mamaJ juzi juzi TU Hapa, au Hauko updated vzur na yanayoendelea kwny nyuz hizi za mamaJ
Uzi uliopita Kuna mtu Kama wewe alileta hoja Kama zako, ikbd nilirekodi mazungumzo yangu ya sim na mamaJ kuhusiana na mgogoro tulokua nao kwny Uzi husika nikayaweka hapa.

Ila mtu mbishi Ni mbishi TU,
bado jamaabalinifata pm akibisha kua nimetengeneza sauti sio mamaJ na kuomba atumiwe video pm nikiwa mimi na mamaJ tunakiss. Ikabd nimpuuze tu

Unapaswa kujua siko Hapa kufurahisha genge, mamaJ yupo anafahamika na baadhi ya members wa humu mmu.

Na member wengine tumeku karibu kias hata sura wanamfahamu,wengine tushatoka nao kiwanja wanamjua na washakunywa nae bia.

Kama wao wapo interested watakuja kujitaja hapa, sio kazi yangu kuwaanika.
 
Ni Mwanamke wa Kusadikika, uliyemuumba siku nyingi . Ambaye anakuwa na muendelezo kwenye story.

Anyway. Hujajibu hoja zangu hata moja.
Nmeshamoderate comment yangu,by the way nimuumbe ili iweje labda?

Kuna sifa,tuzo au posho yoyote mtu Anaipata humu kwa kuanika personal life yake au kubumba story?

Inakuingia akilini nitulie nikae miaka yote hii naandikaga tu vitu vya kufikirika kuhusu mwanamke mmoja anaitwa mamaJ?

Anyway,
Sikulazimishi kuamini mkuu,
Wee sio mtu wa kwanza kuleta pigo hizo.
Nmekupuuza bure
 
Ni Mwanamke wa Kusadikika, uliyemuumba siku nyingi . Ambaye anakuwa na muendelezo kwenye story.

Anyway. Hujajibu hoja zangu hata moja.
Hoja zako zishajibiwa Sana kwny comment za nyuma za wenzio, ngoja nirudie kwa faida yako

1. Hoja ya haiwezekani aende chooni mara mbili kwa savanna moja.
-huyu alishaanza kunywa tangu nilivomkuta nyumbani kwake.

2. Haiwezekani kuagiza amarula 4 kwa wkt mmoja,
-Usichokijua Amarula ndogo zina ujazo wa 200mls kwa alcohol ya 17%
Sasa Ni mnywaji gani Atashindwa kumaliza vichupa vinne tu vya amarula vyenye alcohol ya 17%?
MamaJ hajaanza kuzinywa leo, hata sita anamalizia Bila wasiwasi. Cha muhimu nyama ziwepo.

3. Unaenda kwa mwanamke unaoga TU na kuacha Kodi ya meza.
KINACHOKUSHANGAZA NINI HAPO?
-kwani mkuu kumuachia posho ya meza mwanamke ni lazima TU iwe siku ninayomlala?
-kwani kila siku nikionana nae Ni Lazima tufanye mapenzi?
-kuna siku naenda nashinda nmechoka tunapigwa story naondoka zangu, sio kila siku lazima nimlale na nimlipe. Hajiuzi yule.

4. Mama Jay huyu huyu ambae sikumbuk Kama nyuma alikuwa anakazi.
Maana kutwa nzima Ni kulewa na shosti ake. Mara kulipiwa Kodi. Mara anakataa elfu 5 ya chakula. Leo hii eti amekuwa supervisor anapewa aka process cheque ya mill 2 na anaenda nayo nyumban bila kuwatumia wenzake.

-Hii hoja Haina mashiko Maana kuhusu alivyopata kazi na kila kitu chake vimo humu kwenye nyuzi zangu za nyuma.
Kama Unaweza pekua ujisomee.

-kwani kifupi mamaJ ameajiliwa kwenye petrol station, Ni MDA mrefu Sana na tangu anaajiliwa nilishaandika Sana humu Hadi maswala kibao ya changamoto zae Hadi uko kazin kwao.

-kama Unaweza pekua ukajisomee


Kama Kuna hoja sijaijibu nikumbushe....
 
Nina mwanagu mmoja anakwambia yy hatembei na mchepuko husio na hela na wengi single mothers, ila sasa wengi wao wanamkomalia awaoe.

Kuna huo mmoja wa Ubungo ilikuwa bado kidogo uhatarishe ndoa ya jamaa.
 
Back
Top Bottom