Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Daaah nakushukuru Mungu na nasema tena Ahsante.
...
Kuna wenye mazito zaidi yako so ukikaa kuwatafakari utajikuta unamwambia 'Mungu ahsante'
...
Nakuomba usiogope mdogo wangu, ni kama wadau walivyosema hapo juu, maisha yanachangamoto ambazo ndio zinatufanya tuwepo hapa. Imagine kama wote hapa duniani tusingekuwa na changamoto hali ingekuwaje? Kwa hiyo wewe chukulia hiyo ni sehemu ya maisha na pia kazana sana ufanye vizuri kwenye masomo ili uweze kujihudumia vyema. Pia kama utakuwa na muda basi soma hiki kitabu nimewahi kukisoma wakati nilikuwa na stress na kilinifanya nikawa na mitazamo mipya kwenye maisha. Kitabu kinaitwa" Finding hope when life's not fair". Mwandishi anaitwa LEE EZELL.
Kaza buti maisha yaendelee!!
nashukuru mkuu kwa ushauri
Salaam wadau?
Mimi ni mdau wa jukwaa la siasa ila nimefungua id mpya ili nije nifunguke kitu kinachonsumbua nafsi yangu na kukosa raha ya kuishi
mimi bwana mdogo wa 23 yearz,nipo chuo diploma,nilipokua na miaka 17 niligundulika na type 2 diabetes(kisukari)nikapewa dawa na nikaambiwa nijiepushe na vitu vya sukari na kufanya mapenzi,nilijitahidi kufanya hivo ila sikudumu kutokana na ujana tena nilijisahau na kuendelea na maisha,sasa mwaka jana nilianza kuumwa umwa, baada ya kupima niligundulika kua ugonjwa wangu umeniathiri vibaya viungo vya uzazi kwaiyo sitoweza kuzaa,sperm zangu ni vimeo..dah niliumia sana na sana,yaani maisha yangu magumu alafu bado napata majanga kama haya.
Japo sasa afya yangu ipo vzuri ila matatizo haya yamenifanya nikate tamaa ya maisha,Nimekua sina raha ya maisha,nipo mpweke naona giza maishani mwangu,chuoni nimeporomoka kiuwezo,nayakimbia mahusiano kwa kuogopa insecurity zangu kwa sababu naona mwanamke atankubali akijua mimi mgumba.
Sikiliza Bw. mdogo. Hapa duniani kila mmoja ana janga lake, usione watu wanatembea kwa kuringa na furaha barabarani... mioyoni mwao wana machungu yao.
Kwanza kabisa ikubali hiyo hali uliyonayo. Wewe kuwa mgonjwa, na kutokuwa na mtoto au matatizo yote uliyonayo yasikufanye usifurahie kuishi kwa raha katika dunia hii kadri utakavyojaliwa na Mungu. Jikubali kuishi hivyo .... hutakaa hapa milele. Furahia kipindi kifupi ulichonacho. Sio kweli kwamba huna bahati, usikate tamaa hata siku moja.
Ishi jinsi unavyotakiwa kuishi...... nimechoka kuandika mie..... Maisha mema
Hahaha ...
Pole mkuu bora uwe masikini lakini uwe na mtoto very sad
Labda nyie wanawake ila kwa wengi mtoto ndo dealSio lazima hayo ni mawazo yako!! Ndio nyie huwa mnawaambiwa wagonjwa hakika utapona utakufa tu!!
atoto, nadhani tumshukuru Mungu kwa vile tulivyo (vyovyote vile). Sio kwa sababu kuna wenye shida zaidi yetu.
Labda ulinielewa vibaya, thats what i ment, ndio maana nilianza kwa kumshukuru Mungu, na kwa bahati mbaya binadamu huwa tunajisahau na kulaumu tuuu, ila twapaswa kushukuru na kushukuru kwa vile vichache tulivyonavyo na sio kulaumu tu kwavile tusivyokuwa navyo maana kuna wanaotamani hivyo vichache tulivyonavyo.
Tafuta mwanamke ambaye hawezi kuzaa na muadopt watoto muishi pamoja.
dah thanks mummitto and @Fundisi Muhapa yaani mmenifanya nijiskie mzima tena,sitokataa tamaa wala sitolaumu right now nafauata masharti nakula dawa na mazoezi daily nafanya i hope mungu ataniangalia tena na kuniwezesha na ntasahau kama nina matatizoAfter roll usiamini kwa asilimia mia...Mimi Nina kaka angu aliambiwa hazai bse sperm zake hazikimbii cjui hazina kichwa but suddenly tukashangaa mkewe ana mimba Na mkewe ni muadilifu sana Hamna shaka km amepewa nje hiyo mimba Na yupo tayari kwa DNA
natamani iwe hivyo,lakini nikisoma net naona dah ni ngumu ila naamini mungu ataniwezesha
salaam wadau?
Mimi ni mdau wa jukwaa la siasa ila nimefungua id mpya ili nije nifunguke kitu kinachonsumbua nafsi yangu na kukosa raha ya kuishi
mimi bwana mdogo wa 23 yearz,nipo chuo diploma,nilipokua na miaka 17 niligundulika na type 2 diabetes(kisukari)nikapewa dawa na nikaambiwa nijiepushe na vitu vya sukari na kufanya mapenzi,nilijitahidi kufanya hivo ila sikudumu kutokana na ujana tena nilijisahau na kuendelea na maisha,sasa mwaka jana nilianza kuumwa umwa, baada ya kupima niligundulika kua ugonjwa wangu umeniathiri vibaya viungo vya uzazi kwaiyo sitoweza kuzaa,sperm zangu ni vimeo..dah niliumia sana na sana,yaani maisha yangu magumu alafu bado napata majanga kama haya.
Japo sasa afya yangu ipo vzuri ila matatizo haya yamenifanya nikate tamaa ya maisha,nimekua sina raha ya maisha,nipo mpweke naona giza maishani mwangu,chuoni nimeporomoka kiuwezo,nayakimbia mahusiano kwa kuogopa insecurity zangu kwa sababu naona mwanamke atankubali akijua mimi mgumba.
Nimekuja hapa kama ku spit out kilicho moyoni maana kinanimaliza kidogo kidogo na kutaka mashauri yenu.
Salaam wadau?
Mimi ni mdau wa jukwaa la siasa ila nimefungua id mpya ili nije nifunguke kitu kinachonsumbua nafsi yangu na kukosa raha ya kuishi
mimi bwana mdogo wa 23 yearz,nipo chuo diploma,nilipokua na miaka 17 niligundulika na type 2 diabetes(kisukari)nikapewa dawa na nikaambiwa nijiepushe na vitu vya sukari na kufanya mapenzi,nilijitahidi kufanya hivo ila sikudumu kutokana na ujana tena nilijisahau na kuendelea na maisha,sasa mwaka jana nilianza kuumwa umwa, baada ya kupima niligundulika kua ugonjwa wangu umeniathiri vibaya viungo vya uzazi kwaiyo sitoweza kuzaa,sperm zangu ni vimeo..dah niliumia sana na sana,yaani maisha yangu magumu alafu bado napata majanga kama haya.
Japo sasa afya yangu ipo vzuri ila matatizo haya yamenifanya nikate tamaa ya maisha,Nimekua sina raha ya maisha,nipo mpweke naona giza maishani mwangu,chuoni nimeporomoka kiuwezo,nayakimbia mahusiano kwa kuogopa insecurity zangu kwa sababu naona mwanamke atankubali akijua mimi mgumba.
Nimekuja hapa kama ku spit out kilicho moyoni maana kinanimaliza kidogo kidogo na kutaka mashauri yenu.