Kuna watu hatuna bahati

Ni-PM tujadiliane kwa kina tatizo lako. Kama hutajali.
 

asante sana,nahisi matumaini yapo hapa ni kujitahidi kutunza afya yangu isiharibike zaidi
 
pole sana mkuu ila usivunjike moyo mapema hivyo muombe tu mungu ni muweza wa kila kitu
 
Pole. Nina IDDM ya muda mrefu kuliko wewe, na nashindwa kuelewa DM yako imewezaje ku-fast track kiasi hicho hadi kufikia ugumba kwa kipindi cha less than 8 years. Either way, jibu maswali ya Bi. FaizaFoxy kwanza. Msaada is just around, if you spell correctly what is happening with you
 
Last edited by a moderator:
Daaah nakushukuru Mungu na nasema tena Ahsante.


Ndugu usikate tamaa, maisha ni matamu kama utaikubali hiyo hali na kuamua kukabiliana nayo, mtegemee sana Mungu hakuna linaloshindikana kwake, kama tatizo ni kuzaa mbona dogo sana hilo, alifufua wafu seuse hilo!! Kuna wenye mazito zaidi yako so ukikaa kuwatafakari utajikuta unamwambia 'Mungu ahsante'
Fuata masharti ya madaktari huku ukimtegemea sana Mungu.
 
 
Hajasema ana shida ya motto bali mtoto

Dah jamani, na maana ni tofauti kabisa, umenishtua nikasema isije mlengwa akadhani ni huo motto, ila nimerudia nimekuta amejibu kwa kunisahihisha. Asante lakini.
 
Pole mkuu bora uwe masikini lakini uwe na mtoto very sad
 
Maisha ni zaidi ya ndoa na watoto, kuna watu ndani ya ndoa hawana hamu nazo.
Ukinyimwa upande huu unapewa upande mwingine
 
Verry sad brother ila iyo isikukatishe tamaa katika maisha yako coz kila mtu ana mapito yake
 
al-baajun

Jipe moyo.Maisha bila mtoto yanawezekana
 
Last edited by a moderator:

mkuu pole,mi ya kwangu ya kurithi na hvo unavosema imekua haraka ndo hata daktari ameshangaa inshort mimi bado nahangaika nipate daktari ambaye atakayeweza kujua whats behind it
 
Last edited by a moderator:
al-baajun

mungu aliye kuumba wewe hashindwi kukuponya...kikubwa ni imani tu.
 
Last edited by a moderator:

namshukuru mungu pia,kweli nikifkria wenye matatizo zaidi yangu naona nina afadhali mungu akubariki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…