donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,043
- 21,517
Haka katoto kakuitwa angel ambacho kapo based uholanzi aisee ni moto. Needn't to say more.....
Acha umbea bossMbona sioni cha ajabu mkuu!! Halafu ni yupi Kati ya hao watatu? Maana naona wako sawa tu!! Na je, hako ka toto ni kabinti kako unakapigia promo?
Hahaha, ni hako ka Kati mkuu, ukitaka kuona moto wake zaidi nenda kwenye insta account yake @angelafrodanceMbona sioni cha ajabu mkuu!! Halafu ni yupi Kati ya hao watatu? Maana naona wako sawa tu!! Na je, hako ka toto ni kabinti kako unakapigia promo?
Us got talent sifuatilii mkuu? Simon Cowell mwenyewe ananijuaAnacheza vizuri lakini umempaisha mno bana et dunia nzima, we hata got talent hufatiliagi