Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Nchi ina mijitu ina roho mbaya hii sijapata kuona. Watu wanauana huko Ukraine 🇺🇦, watu wanashangilia utadhani mechi ya mpira wa Mrs Simba na @mr Yanga.
Hawa wanajiita team Ukraine 🇺🇦 wakiongozwa na Mkenya anayetamani sana kuwa Mtanzania MK254 , na pia kuna team Russia 🇷🇺 inayoongozwa na Yericko Nyerere .
Serikali nayo iko kimya tuuuu utadhani haiathiriki na vita inayoendelea.
Serikali ya CCM kwa miaka nenda rudi tangu tumepata uhuru wa kuchovya mwaka 1961 hadi leo wamekuwa wakisadikisha raia wake kwamba wana chombo cha kuleta amani.
Yaani namna hicho chombo kinavyofanya kazi ni kwa njia moja tu, na kina leta amani fastaaa.
Chombo hicho kinaitwa mwenge, mkikiwasha mnakizungusha kwenye mipaka na kila mahali mnapotaka amani itokee na ghafla amani hupatikana.
Yaani kama ulikuwa umeshika binduki ghafla bin vuuu utajikuta umesgika mshumaa mweupe unaware, amani, amani, amani.
Lakini serikali hii haitaki kupeleka huo mwenge Ukraine ili , uzungushwe amani ipatikane.
HUO NI UKORRRRROFFFFFFIIIIIIIIIII
Hawa wanajiita team Ukraine 🇺🇦 wakiongozwa na Mkenya anayetamani sana kuwa Mtanzania MK254 , na pia kuna team Russia 🇷🇺 inayoongozwa na Yericko Nyerere .
Serikali nayo iko kimya tuuuu utadhani haiathiriki na vita inayoendelea.
Serikali ya CCM kwa miaka nenda rudi tangu tumepata uhuru wa kuchovya mwaka 1961 hadi leo wamekuwa wakisadikisha raia wake kwamba wana chombo cha kuleta amani.
Yaani namna hicho chombo kinavyofanya kazi ni kwa njia moja tu, na kina leta amani fastaaa.
Chombo hicho kinaitwa mwenge, mkikiwasha mnakizungusha kwenye mipaka na kila mahali mnapotaka amani itokee na ghafla amani hupatikana.
Yaani kama ulikuwa umeshika binduki ghafla bin vuuu utajikuta umesgika mshumaa mweupe unaware, amani, amani, amani.
Lakini serikali hii haitaki kupeleka huo mwenge Ukraine ili , uzungushwe amani ipatikane.
HUO NI UKORRRRROFFFFFFIIIIIIIIIII