Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,981
- 12,996
Mch Gwajima ndio Mwanaume pekee pale Dar
Subscribe here for Live Streaming from Ubungolive updates please
Akitoe wapiiiiiiiiii????Sijawahi kuona mtu mkaidi Kama Daudi yaan keleke zote hizo cheti hataki kutoa
Kweli wewe mgeniSifa kuu ya Gwajima ni kufufua misukule!! Sasa Leo ni siku ya pekee ambayo amesema ataanika vyeti vya Daudi bashite!! Kwanza huyo bashite nahisi ni msukule mmoja wapo!! Na wageni Wa Leo je siyo misukule ambayo itasimulie juu ya msukule mwenzake Daudi bashite???? Twende kanisani tukashuhudie ugeni huu!!