Kuna vitu vinachekesha sana

Kuna vitu vinachekesha sana

BIG THINKER

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2018
Posts
701
Reaction score
1,524
Unatafuta hela wewe mwenyewe kwa ajili ya maendeleo yako, halafu wewe mwenyewe unapita nyuma nyuma unajiibia [emoji38][emoji38] unarud tena kukusanya, ukiona zimekuwa nyingi unarud kinyume nyume kama kawaida tena unajiibia [emoji38]. Hii kitaalamu tuiiteje?

Serikali ya Tanzania inakusanya kodi halafu inaziiba, mifano ni mingi tu.

Kuna muda mimi huwa nacheka nikiyawaza haya mambo.
 
Unatafuta hela wewe mwenyewe kwa ajili ya maendeleo yako, halafu wewe mwenyewe unapita nyuma nyuma unajiibia [emoji38][emoji38] unarud tena kukusanya, ukiona zimekuwa nyingi unarud kinyume nyume kama kawaida tena unajiibia [emoji38]. Hii kitaalamu tuiiteje?

Serikali ya Tanzania inakusanya kodi halafu inaziiba, mifano ni mingi tu.

Kuna muda mimi huwa nacheka nikiyawaza haya mambo.
Uzalendo less people 😂😂😂
 
Unatafuta hela wewe mwenyewe kwa ajili ya maendeleo yako, halafu wewe mwenyewe unapita nyuma nyuma unajiibia [emoji38][emoji38] unarud tena kukusanya, ukiona zimekuwa nyingi unarud kinyume nyume kama kawaida tena unajiibia [emoji38]. Hii kitaalamu tuiiteje?

Serikali ya Tanzania inakusanya kodi halafu inaziiba, mifano ni mingi tu.

Kuna muda mimi huwa nacheka nikiyawaza haya mambo.
Kitaalam inaitwa ndoige
 
Rais wa Kuzimu Mh Ibilisi amesema ni marufuku kwa Marehemu wanasiasa kutoka TZ kuingia kwenye himaya yake sababu ni Marehemu hatari sana na hawana mfano, anahofu wataharibu ustawi wa Ufalme wake.
 
Unatafuta hela wewe mwenyewe kwa ajili ya maendeleo yako, halafu wewe mwenyewe unapita nyuma nyuma unajiibia [emoji38][emoji38] unarud tena kukusanya, ukiona zimekuwa nyingi unarud kinyume nyume kama kawaida tena unajiibia [emoji38]. Hii kitaalamu tuiiteje?

Serikali ya Tanzania inakusanya kodi halafu inaziiba, mifano ni mingi tu.

Kuna muda mimi huwa nacheka nikiyawaza haya mambo.
Serikali ina watu wengi, wenye tabia tofauti. Wakusanya kodi, hufanya kwa juhudi kukusanya ili kulinda kibarua na wengine hapo hapo kujipatia cha juu.
Wanaopanga matumizi ya hizo pesa ndio wanatoa kichefuchefu, maana haijulikani ni nini kipaumbele. Wananchi wana matatizo makubwa, na bado pesa zinaelekezwa katika maeneo ambayo hayana uhitaji wa lazima. Mfano malipo kwa wabunge na mambo ya kisiasa kwa ujumla.
Hivyo ninaloona katika uzi huu, si serikali bali watumishi ndio ambao hawana mfumo unaowaongoza, na hapa naona umuhimu wa Katiba nzuri itakayo waongoza kwa haki na uwajibikaji, na kuwaadhibu vile vile pale wanapoenda kinyume chake.
WaTz tuamke.
 
Ukikusanya faida kubwa LAZIMA uilee mkuu ...
 
Unatafuta hela wewe mwenyewe kwa ajili ya maendeleo yako, halafu wewe mwenyewe unapita nyuma nyuma unajiibia [emoji38][emoji38] unarud tena kukusanya, ukiona zimekuwa nyingi unarud kinyume nyume kama kawaida tena unajiibia [emoji38]. Hii kitaalamu tuiiteje?

Serikali ya Tanzania inakusanya kodi halafu inaziiba, mifano ni mingi tu.

Kuna muda mimi huwa nacheka nikiyawaza haya mambo.
Zamani nilikuwa nadhani ni chuma ulete ila nimegundua ni utovu wa nidhamu ya pesa, na kuipata discipline hiyo inatakiqwa yakufike mengi mpaka mwenyewe use me INAFU
 
Back
Top Bottom