Umepatia kwa asilimia 80% NI USALAMA WA WAHUNI MAFISADI WA CCM 100%...wewe kama siyo muhuni na fisadi wa ccm au upo ccm ila unachukia wahuni na mafisadi basi hao usalama wa wahuni na mafisadi wanakuja kukumaliza kwa namna mbalimbali.Usalama wa CCM hakuna cha Taifa.
Du una akili ndogo kama mama yako ...usalama wa taifa tanzania wapo kwa ajili ya wahuni na mafisadi wa ccm dhidi ya wazalendo hata kama hao wazalendo ni ccm wenzaoHata Wewe ni usalama wa Taifa
Kuwa Mzalendo 😀
Weka ushahidi.Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Mkuu Mundu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Sawa umeeleweka.Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Asante kwa elimu. Nilikuwa sijui hili. Je kina.madhara gani? Naomba elimu zaidi..Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kumtaja kwa majina mtu yoyote kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!
P.
Kwa kifungu kipi cha mwenendo wa makosa ya jinai?Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Hii ndio Tanzania......Toka enzi ...umdhaniae ndiye .......kumbe ndiye siye....aliye...ndiye...siye ...ndiye.....Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Na ndio maana ya JF na sababu ya kutumia fake username, especially kwa hawa wasiokua na msaada wowote kwa Umma, tuwajue tu sisi ndio tunaowalipa kwa kodi zetu. Sheria zipo ili zifatwe au zivunjwe na Magereza yapo kwaajili yetu, tukifwata wote sheria, magereza yatafungwa sasa.Mkuu Kamu, Kamundu , kwa lengo la kusaidiana tuu, kukusaidia wewe na wengine wasiojua, kumtaja kwa majina mtu yoyote wa TISS na kumu expose kuwa ni TISS, huyo mtu akiwa ni TISS kweli, then kumtaja kwa jina ni kosa la jinai!.
P.
Nyerere alisema UVCCM ni usalama wa Taifa 😃😃😃Du una akili ndogo kama mama yako ...usalama wa taifa tanzania wapo.kwa ajili ya wahuni na mafisadi wa ccm dhidi ya wazalendo hata kama hao wazalendo ni ccm wenzao
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa