Kuna vijana sio GenZ

Kuna vijana sio GenZ

Joined
Dec 13, 2023
Posts
88
Reaction score
343
Unakuta kijana ana elimu nzuri tu na nidhamu ila hayuko familiar kabisa na maisha mengine ya kidijitali.

Kijana hajui kutumia word, hajui hata Chatgbt ni nini, kijana anapeleka simu kwa fundi ku install apps au ku rest simu.

Kijana hamjui Maduro wala hajui kinachoendelea Iran.

Kwa kifupi namaanisha mitandao inamtumia badala ya kuitumia yeye yaani yeye ni bidhaa kwenye soko la utandawazi, hakuna kitu asichokijua ambacho mzee hakijui.

Hakika kuna vijana sio maGenz
 

Attachments

  • Screenshot_20260126_215042_Google.jpg
    Screenshot_20260126_215042_Google.jpg
    213.9 KB · Views: 5
Unakuta kijana ana elimu nzuri tu na nidhamu ila hayuko familiar kabisa na maisha mengine ya kidijitali.

Kijana hajui kutumia word, hajui hata Chatgbt ni nini, kijana anapeleka simu kwa fundi ku install apps au ku rest simu.
Kijana hamjui Maduro wala hajui kinachoendelea Iran.
Kwa kifupi namaanisha mitandao inamtumia badala ya kuitumia yeye yaani yeye ni bidhaa kwenye soko la utandawazi, hakuna kitu asichokijua ambacho mzee hakijui.

Hakika kuna vijana sio maGenz
Chagbt lgbt au chatGPT?
 
Kijana hamjui Maduro wala hajui kinachoendelea Iran.
Kuna point kama hii haina faida sana kwenye maisha ya huyo kijana ajue asijue hakuna ulazima

Ingekuwa bora tungewapa challenge gen z kwenye kuleta na kubuni vitu kwaajili ya maendeleo zaid na sio kujua taarifa nyingi zisizo na umuhimu sana
 
Mimi nipo sehemu ambayo kijana akisoma jambo lolote Facebook basi anahitimisha ni kweli .

Leo mmoja amekuja kwangu anagonga hodi kwa nguvu mambwa yanambwekea nikajiokota kitukuu cha mtume nikamsikilize mja wa Allah eti kamekaa hata nusu saa hakana hata muda kananiuliza kaka nimekuja kukuuliza eti nimeona Facebook raisi amekufa ,kuna jamaa wa mbeya mjini amepositi

Ikabidi nikajibu mimi sijui mpaka nipigiwe simu na walioko mjini eti kananibishia kabisa kuwa hapana amekufa nimekuja kukupa taarifa kaka .

Ikabidi nikubaliane kutokukubali hakajui mwenziye nashinda JF kwa watu wenye visomo vyao na taarifa zao ila kanakuja kunipa taarifa za Facebook.
Itoshe kusema kaka sikubishii vijana wa hivyo wapo sana hasa huku vijijini maendeleo hatuyapati maana hata waliomaliza vyuo bado wakirudi huku hawabadiliki zaidi ya kuvaa tai na suruali mpauko
 
Mimi nipo sehemu ambayo kijana akisoma jambo lolote Facebook basi anahitimisha ni kweli .

Leo mmoja amekuja kwangu anagonga hodi kwa nguvu mambwa yanambwekea nikajiokota kitukuu cha mtume nikamsikilize mja wa Allah eti kamekaa hata nusu saa hakana hata muda kananiuliza kaka nimekuja kukuuliza eti nimeona Facebook raisi amekufa ,kuna jamaa wa mbeya mjini amepositi

Ikabidi nikajibu mimi sijui mpaka nipigiwe simu na walioko mjini eti kananibishia kabisa kuwa hapana amekufa nimekuja kukupa taarifa kaka .

Ikabidi nikubaliane kutokukubali hakajui mwenziye nashinda JF kwa watu wenye visomo vyao na taarifa zao ila kanakuja kunipa taarifa za Facebook.
Itoshe kusema kaka sikubishii vijana wa hivyo wapo sana hasa huku vijijini maendeleo hatuyapati maana hata waliomaliza vyuo bado wakirudi huku hawabadiliki zaidi ya kuvaa tai na suruali mpauko
😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom