DOKEZO Kuna viashiria vya rushwa mikopo ya 10% kwa Vijana, Wilaya ya Newala Vijijini - Mtwara

DOKEZO Kuna viashiria vya rushwa mikopo ya 10% kwa Vijana, Wilaya ya Newala Vijijini - Mtwara

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kumekuwa na viashiria vya rushwa kwenye utoaji wa mikopo ya 10% kwa Vijana katika Wilaya ya Newala Vijijini Mkoani Mtwara.

Tuliunda kikundi na kufata taratibu zote lakini mwishoni tunaelezwa tutoe chochote ili waweze kupitisha ombi letu.

Maana ya kuomba mkopo ni dhahiri kwamba hatujitoshelezi hivo tunahitaji kujikwamua lakini bado tumekwamishwa.
 
Taarifa yako hajitoshelezi unataka usaidiwe nn mdau maana maana wahusika wa kuomba rushwa hujawaweka bayana
 
Ipo hivyo kwa maeneo mengi akuna namna rushwa na tz ni kama samaki na maji.

Sasa kikundi tulichounda sisi enzi za Msoga tulimwambia yule afisa wa almashauri akate hukohuko rushwa yao atupe cha kwetu.
Wakapiga panga milioni nne sisi tukapewa 16 zilizobakia.
 
Back
Top Bottom