Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,078
- 831,714
Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wazazi na walezi wameitumia hii hakimiliki vibaya..kuwafundisha watoto mambo mabaya au kuwaingiza watoto kwenye viapo na maagano yasiyofaa
Maagano mabaya kabisa ni haya yanayohusisha damu..damu ni kitu hai hivyo hutengeneza roho
Wakati huo unakuta wazazi au walezi wanakuwa tayari hawapo duniani na hawakuacha maandishi yoyote kwa kile walichofanyia watoto
Tunaweza kufanya mambo kwa nia njema kabisa lakini tukumbuke kuacha formula ya yale tuliyoyafanya
Hizi ishu za kinga ujasiri na kutengeneza bahati kwa watoto wetu twende nazo kwa tahadhari kubwa kwakuwa huwa na vigezo na masharti na huwa na expire date