mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
mie nadhani unamshuku huyo binti haya weee labda anakupachika mimba ya mtu mwingine
mbona mnamsanif mwenzenu,amesema UKIMWI anapima mara kwa mara.lakini mbona una wasiwasi kama mimba anayo isije ikawa ya kubambiukiwa.jee huyo msichana unamuamini kweli?
uje uchukue elfu mbili kwangu mkacheki kwanza
mie nadhani unamshuku huyo binti haya weee labda anakupachika mimba ya mtu mwingine
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.
Kama kweli huyo dada aliingia katika hedhi tarehe 28, nathubutu kusema kuwa hiyo mimba siyo yako, anataka kukusingizia. Fungua "atachimenti" usome jedwali la uzazi wa mpango kwa njia ya asili. Kuna vitu nimekadiria ( I have assumed), kwa kuwa umesema ulifanya naye zinaa tarehe 3 na tarehe 4 na kwa kuwa mara ya mwisho kuingia katika hedhi kwa huyo dada ilikuwa tarehe 28, basi nahitimisha kwa kusema kuwa hiyo mimba siyo yako. Hii ni kwa sababu kama ulizini nae tarehe 3 na 4, basi itakuwa alimaliza hedhi tarehe 1 au 2 ya mwezi husika, hivyo siku kati ya 10 na 20 (inategemea na mwili wa mwanamke husika) ni siku salama kujamiiana, na kwa bahati wee ulikutana nae siku ya 3 na 4 tangu amalize hedhi yake tarehe 28.
Lakini kama hakuingia katika hedhi katika siku hiyo ya tarehe 28, inawezeka hiyo mimba ni yako.
Nakushauri umuulize vizuri huyo dada hedhi ya mara ya mwisho aliingia tarehe ipi, ukishapata jibu ni-pm ili nikupe maelezo zaidi.
Jedwali kwa ajili ya ivuga View attachment 18881
Jedwali kamili la njia ya asili ya uzazi wa mpango liko hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-asili-natural-birth-control.html#post1399274
Ni vizuri enyi kina dada na kina mama mkalipakua jedwali hili, litakusaidieni kupanga uzazi nyie na waume zenu. Kama hulewi jinsi ya kulitumia usisite kuni-pm au kuni-text katika fshemeji@yahoo.com, niko tayari kukusaidia.
Kama kweli huyo dada aliingia katika hedhi tarehe 28, nathubutu kusema kuwa hiyo mimba siyo yako, anataka kukusingizia. Fungua "atachimenti" usome jedwali la uzazi wa mpango kwa njia ya asili. Kuna vitu nimekadiria ( I have assumed), kwa kuwa umesema ulifanya naye zinaa tarehe 3 na tarehe 4 na kwa kuwa mara ya mwisho kuingia katika hedhi kwa huyo dada ilikuwa tarehe 28, basi nahitimisha kwa kusema kuwa hiyo mimba siyo yako. Hii ni kwa sababu kama ulizini nae tarehe 3 na 4, basi itakuwa alimaliza hedhi tarehe 1 au 2 ya mwezi husika, hivyo siku kati ya 10 na 20 (inategemea na mwili wa mwanamke husika) ni siku salama kujamiiana, na kwa bahati wee ulikutana nae siku ya 3 na 4 tangu amalize hedhi yake tarehe 28.
Lakini kama hakuingia katika hedhi katika siku hiyo ya tarehe 28, inawezeka hiyo mimba ni yako.
Nakushauri umuulize vizuri huyo dada hedhi ya mara ya mwisho aliingia tarehe ipi, ukishapata jibu ni-pm ili nikupe maelezo zaidi.
Jedwali kwa ajili ya ivuga View attachment 18881
Jedwali kamili la njia ya asili ya uzazi wa mpango liko hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-asili-natural-birth-control.html#post1399274
Ni vizuri enyi kina dada na kina mama mkalipakua jedwali hili, litakusaidieni kupanga uzazi nyie na waume zenu. Kama hulewi jinsi ya kulitumia usisite kuni-pm au kuni-text katika fshemeji@yahoo.com, niko tayari kukusaidia.
baba mtu wewe ni kali na nimekuelewa vilivyo ,,,hii kitu mi ndio nitapenda kuitumia manake binti hapendi kutumia madawa
baba mtu wewe ni kali na nimekuelewa vilivyo ,,,hii kitu mi ndio nitapenda kuitumia manake binti hapendi kutumia madawa
vipi mambo Ivuga??
Je mmefanya test??
Kama kweli huyo dada aliingia katika hedhi tarehe 28, nathubutu kusema kuwa hiyo mimba siyo yako, anataka kukusingizia. Fungua "atachimenti" usome jedwali la uzazi wa mpango kwa njia ya asili. Kuna vitu nimekadiria ( I have assumed), kwa kuwa umesema ulifanya naye zinaa tarehe 3 na tarehe 4 na kwa kuwa mara ya mwisho kuingia katika hedhi kwa huyo dada ilikuwa tarehe 28, basi nahitimisha kwa kusema kuwa hiyo mimba siyo yako. Hii ni kwa sababu kama ulizini nae tarehe 3 na 4, basi itakuwa alimaliza hedhi tarehe 1 au 2 ya mwezi husika, hivyo siku kati ya 10 na 20 (inategemea na mwili wa mwanamke husika) ni siku salama kujamiiana, na kwa bahati wee ulikutana nae siku ya 3 na 4 tangu amalize hedhi yake tarehe 28.
Lakini kama hakuingia katika hedhi katika siku hiyo ya tarehe 28, inawezeka hiyo mimba ni yako.
Nakushauri umuulize vizuri huyo dada hedhi ya mara ya mwisho aliingia tarehe ipi, ukishapata jibu ni-pm ili nikupe maelezo zaidi.
Jedwali kwa ajili ya ivuga View attachment 18881
Jedwali kamili la njia ya asili ya uzazi wa mpango liko hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-asili-natural-birth-control.html#post1399274
Ni vizuri enyi kina dada na kina mama mkalipakua jedwali hili, litakusaidieni kupanga uzazi nyie na waume zenu. Kama hulewi jinsi ya kulitumia usisite kuni-pm au kuni-text katika fshemeji@yahoo.com, niko tayari kukusaidia.
Muongo huyo!
haiwezekani iwe kila tar 28 lazima ipite au iwahi ni mara chache sana kuwa tar hiyo hiyo....however.......hizo tar ulizommega uwezekano wa kupata haupo...lets say ilikuwa nov 28 na anakuwa kwenye hedhi siku 3 au 4, tarehe zake za danger zitakuwa tar 8 mpaka 14 au 15 then kuanzia hapo ni mteremko tena mpaka tar 26 dec ndio ataona siku zake........okaaaaay
umejibu vyema.
azingatie kuwa umri wa binti nao unachangia kutotabirika. kuna tatizo la hormonal imbalance kwa mabinti wadogo, kwa hiyo ni kawaida kupata wasiwasi unapotembea na watotot wadogo. ila kama angetumia kondomu kwa ufasaha asingekuwa na sababu ya wasiwasi. heri wasiwasi wa mimba kuliko ukimwi
amepima sasa hivi jioni tumekuta negative.asanteni sana kwa ushauri..idumu JF na member wake wabarikiwe wote..ila huyu binti nilivyomuona naona kama vile hajaridhika alikuwa anataka iwe positive kwa sababu hajaamini ikabidi tupima mara ya pili
asante sister manake nilikuwa na wasiwasi nilijua nishategeneza kiobama kidogo tayariusijali hana mimba..
kama nilivyokueleza hapo awali...
maana tayari weeki mbili zimeshapita kama test imesema NE hawawezi kuwa PO tena...
nway kuwa mwangalfu next time maana umesha gundua hao wanajeshi wako
ni wakali sana ukiwa vitana ....take care , take it easy , take it slow AD..