Kuna uwezekano wa kuzihamishia apps kwenye memory card?

Ftc

Senior Member
Apr 30, 2017
144
114
Habari ya jumapili wadau nina simu yangu Tecno j8,jambo linalonikela ni pale napoitaji kudownload apps zaidi inaniambia interna memory imejaha swali langu hakuna uwezekano wa kuzihamishia hizi apps kwenye memory card?
ec4fa94521c791a264a02c0301a33322.jpg
 
a0d8a825d4c178579f9d429715ad15ba.jpg

Nunua hiyo OTG cable hizi app amishia kwenye flash utatumia vizuri tu na utaipenda simu yako..

au ingia kwenye storage uweke memory card kuwa default storage

Me mwenyewe natumia Tecno boom j8
 
a0d8a825d4c178579f9d429715ad15ba.jpg

Nunua hiyo OTG cable hizi app amishia kwenye flash utatumia vizuri tu na utaipenda simu yako..

au ingia kwenye storage uweke memory card kuwa default storage

Me mwenyewe natumia Tecno boom j8
Memory nimeiweka kama default lakin apps nashindwa kuziamishia kwenda memory labda unielekeze jinsi ya kuzihamisha
4a8791e9465d43fad7afa49d3bc4c99d.jpg
 
kupanga ni kuchagua ndugu....ukibaki nazo ndo matatizo hayo...ukizitoa utapata shida...chagua wpi kuzuri kwako
Nilikuwa nahitaji tu mawazo kama kuna uwezekano wa kuzihamishia kwenye memory card
 
Toa fb na messenger eka fb lite utafree nafasi ya kutosha tu.

Unaweza ukaeka apps kwenye memory card ila ni ngumu kupata sd card yenye speed nzuri ya ku run hizo apps.

Simu yako ina android ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: Ftc
Toa fb na messenger eka fb lite utafree nafasi ya kutosha tu.

Unaweza ukaeka apps kwenye memory card ila ni ngumu kupata sd card yenye speed nzuri ya ku run hizo apps.

Simu yako ina android ngapi?
Android 5.1 mkuu,kuhusu speed hamna shida ilimradi nizihamishie tu kwenye memory card
 
Inawezekana sema mpaka u root simu yako kisha ukifanikiwa download app inaitwa (link to sd card) baada ya hapo apps zako zote unaweza ziamishia kwa memory card na bado zikasoma
 
  • Thanks
Reactions: Ftc
Inawezekana sema mpaka u root simu yako kisha ukifanikiwa download app inaitwa (link to sd card) baada ya hapo apps zako zote unaweza ziamishia kwa memory card na bado zikasoma
Simu yangu ipo rooted tayari iyo app inapatikana playstore au
 
Fungua setting,nenda kwenye "apps" then utaona option nyingi kama," downloaded","running" ," sd card" nk,select hiyo sd card then utona apps zako zikiwa na option ya kuzimark,,mark app yeyote utaona option chini " move to sd card",select hapo
 
Inawezekana sema mpaka u root simu yako kisha ukifanikiwa download app inaitwa (link to sd card) baada ya hapo apps zako zote unaweza ziamishia kwa memory card na bado zikasoma
Baada ya ya kudownload,nikaanza process yakuzimove inaiandikia hivi
47b3892ef07f856a8a8b4249525520cc.jpg
 
Back
Top Bottom