Pole Mdg wangu.. usiwe na wasiwasi..Hii nauliza kwa wale tuliokosa mpaka rounds zote mbili tujuzane wadau hivi watafungua dirisha tena au ndiyo nitolee.
Quoting from TCU..... "Tume inawaasa waombaji wote ambao hawajaweza kutuma maombi yaHii nauliza kwa wale tuliokosa mpaka rounds zote mbili tujuzane wadau hivi watafungua dirisha tena au ndiyo nitolee.
Sasa mkopo itakuwaje tar 10
mkopo wanatoa kwa awamuSasa mkopo itakuwaje tar 10
Kama uli confirm kabla ya majina ya multiple admission hayajatoka bac jina lako haliwezi kuwekwa kwenye multiple admissionGuys kwenye list ya tcu multiple admission sipo ila nimepata multiple admission. Hv kuna madhara yoyote
Mkuu rudia dirisha la 3 usichokeDuuuh, haya mambo ya udahili sio poa.. Daaah sasa sijui mtaani nifanye nn na hela hata ya biashara sina
Okay hapo nimekupata. Yah nili confirm kabla majina hayajatokaKama uli confirm kabla ya majina ya multiple admission hayajatoka bac jina lako haliwezi kuwekwa kwenye multiple admission
Duuuh, haya mambo ya udahili sio poa.. Daaah sasa sijui mtaani nifanye nn na hela hata ya biashara sina
Duuuh, haya mambo ya udahili sio poa.. Daaah sasa sijui mtaani nifanye nn na hela hata ya biashara sina
Ndio.. Sema sikuifikiria Extension Ila sasa nitajaribu kuiwekaTulia man me 3rd ndonilipata SUA mkuu nakushaur ukiweka coz usisahau BSC.ext equivalent weng wanapta sema mwaka uu had form 6 wanachkua so nafas Kama nusu kwa nusu.
Mkuu utanishukuru.