google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,667
- 13,868
inawezekana kabisa ila kwa mfumo wa nchi yetu hiki ni chama kimoja kabisa kukitoa inahitajika nguvu tofauti na hii unayoandika hapa
Spinal cord yako itakuwa breakable,,, try it!Niko tayari kwa maandamano ya heri au ya shari. Samia Idd Amin Mama must go✊
Nimeandika haya baada ya kuwasikiliza wale ambao wanakusanya na kuchakata taarifa zote nchini ikiwemo hali ya Kisiasa.Labda sio hii CCM tunayoijua.
Hainguki hivi karibuni, na wahuni watahaikisha hiki chama hakitoki madarakani. Kubaliana na huo ukweli. Watanzania bado sana.
Haya niliyoandika nimeyasikia kwenye taarifa zao wenyewe.inawezekana kabisa ila kwa mfumo wa nchi yetu hiki ni chama kimoja kabisa kukitoa inahitajika nguvu tofauti na hii unayoandika hapa
Tanzania hatunaga watu wa vitendo kihivyoManeno yataenda,vitakuja vitendo, Botswana ilikuwa hivi hivi!
Eti maandamano! Haya. Yaandaeni. Tunawasubiri saiti!Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Hizi ni taarifa za siteEti maandamano! Haya. Yaandaeni. Tunawasubiri saiti!
Sawa. Ngoja tusubiri.Hizi ni taarifa za site
Dogo unaokoteza taarifa ?Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
