Binafsi naona itakuwa habari njema mno kwa taifa letu.Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Usikariri maisha ogopa sana watu wakifika point of No return leo hii walikua wakidhani wanaopotea ni CDM lakini siku zakaribuni tumesikia watu wa mbogamboga wakipotea na hawakuwahi kudhani inaweza kutokea kwao sasa usiishi na ulichokiona jana na juzi katika maisha mchezo unabadilika dk 0 tu, kuna nyakati kifo hakitakua kinaogofya tena mana silence does not gurantee you safety take it or leave it.Kwa nini maandamano hayafanikiwa Tanzania?
1. Ni njia isiyo rafiki na watanzania wanaona hivyo
2. Watanzania wanaona Bado Tanzania ni kisiwa Cha amani
3. Wanajivunia maendeleo yao
4. Wanaamini
Hivyo hakuna uwezekano hata wa asilimia moja maandamano kufanikiwa Tanzania
Mnafikiria CCM haipendwi jidanganyeni mnaoshupaza shingo wengi wenu ni vijana wa mitandaoni na mnaoishi mijini na siyo wote wengine tunaipenda bado huko mikoani ngoja tuwapige za uso sijui sasa mtahama nchi maana si hamumpendi Samia na yeye ndiye RaisDeclaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Hao viongozi uchwara wanalifahamu hilo.Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Sijui kama watakuelewa kina Lukas Mwashambwa na nduguye tlaahtlaah!Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Maneno yataenda,vitakuja vitendo, Botswana ilikuwa hivi hivi!Hakuna kitu kama hiki, not now and never!, unless kama wewe huwajui Watanzania! Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Politics is science, political science, inafuata scientific principles, CCM haiwezi kuondoshwa mpaka kwanza iwepo its replacement. Nchi haiwezi ku exist in vacuum!.
P
Kwani akili ni niniHivi ni akili ya aina gani unaona kabisa wananchi hawakutaki wewe unashupaza shingo?shauri yako/yake
This is the best comment of all in this thread.Huwa mnahangaika sana!!
CCM Wala samia sio tatizo!tatizo ni hao wanaojiita TISS na majasusi wameacha kufikiri mstakabali wa taifa badala take wanacheza Ngoma za maslahi na viongozi!
Inawezekanaje kiongozi anavunja Sheria nankatiba anaendelea kukalia kiti na wao hawana Cha kumfanya!!?
Yaani wait kama taasisi nyeti kwenye taifa hili wamelisaidiaje taifa kujiendesha kiusalama bilankutegemea aina ya kiongozi atakaeshika madaraka!!?
Na itokee tu hata kesho, nimeichoka na siipendi ccm imejaa watu wenye kiburi, warafi na wabinafsi wa kiwango cha juu.Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.
Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.
Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).
Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.
Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.
Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
WW MUNGU UNAFAHAMU OKTOBA WAGOMBEA WATAKUWEP?Endelea kujifariji
Taifa limesema OCTOBER TUNATIKI ✅
CCM ndiyo waanzilishi wa dhambi yote hii, ubinafsi wa watu wa ccm ndiyo umepelekea tuwe na idara ya usalama wa taifa isiyo na maamuzi yenye maslahi kwa taifa, ni kwasababu ya kazi wanapeana kwa kujuana.Huwa mnahangaika sana!!
CCM Wala samia sio tatizo!tatizo ni hao wanaojiita TISS na majasusi wameacha kufikiri mstakabali wa taifa badala take wanacheza Ngoma za maslahi na viongozi!
Inawezekanaje kiongozi anavunja Sheria nankatiba anaendelea kukalia kiti na wao hawana Cha kumfanya!!?
Yaani wait kama taasisi nyeti kwenye taifa hili wamelisaidiaje taifa kujiendesha kiusalama bilankutegemea aina ya kiongozi atakaeshika madaraka!!?
Kinacho hitajika na kinachohofiwa ni trigger pointWengi tunalalamika.watu wanatekwa --- ila maandamano ya mwisho ya mwamba hatukutokea 👀
Kuna muda mambo hubadilika ghafla hasa mitizamo na Matendo ya Viongozi ona hii nukuu:One commented,I did not ever think I would witness this change in my life.The BDP had stayed too long in power,and I am proud to be part of the people that removed them for a better Botswana!.Maneno yataenda,vitakuja vitendo, Botswana ilikuwa hivi hivi!