GE2025 Kuna uwezekano wa CCM kuanguka

GE2025 Kuna uwezekano wa CCM kuanguka

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hao watu wa kufanya maandamani wanaenda kukodiwa au??
Sisi tuache kuangalia simba na yanga ,Diamond na zuchu tuandamane.
 
Tanzania hii bado mtu ana 20 yrs anakula kwao,kwa jirani na kwa mjomba utamuambia aandamane.
 
Kinacho hitajika na kinachohofiwa ni trigger point
muda huo bado mkuu, na kama mnahisio SSH anatupeleka karibu na hiyo point, basi ni kuhakikisha tunaenda nae mpaka 2030, muda huu (2025) mazingira bado hayajawiva
 
Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.

Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.

Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).

Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.

Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.

Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Nasubiri jambo la kuanguka kwa CCM kwa hamu kubwa saaana sijui ni lini litatokea?!
 
Unatuchanganya Wana ujue
Ni wewe au jamaa wamedukua account.
Wabongo mna matatizo ya akili, mkimuona mtu anapinga uchaguzi mnamuona huyo na chadema mwenzenu, mkimuona mtu anampinga Lissu mnamuona huyo adui/ccm.

Mm sina chama, sio ccm wala sio chadema, ila penye ukweli nasema.
 
Hizi maiti zinazotembea sizani kama zitazinduka na kuandamana
 
Hivi ni akili ya aina gani unaona kabisa wananchi hawakutaki wewe unashupaza shingo?shauri yako/yake
Wajomba wanataka hata madini yaliyoko msituni na kwenye mbuga.Bandari tayari mwendokasi tayari,wamasai tayari.Kesho na sisi na JF tunakabidhiwa kwa wajomba na tutafundishwa Kioman na Kidubai walah tena.
 
Declaration of Interest.
Mimi siyo mfanyakazi wa Geti jeusi, ila baada ya kufanya utafiti na mazungumzo kadha wa kadha na vijana wanaofanya kazi hapo, napenda kuleta Habari njema asilimia 80-90% ya hawa vijana wetu kwa sasa hawaiungi mkono Serikali iliyopo, na badala yake wakiwa wajidaliana kwa uwazi kabisa kuwa Watanzania wa sasa sio wa jana.

Wanasema teknolojia imekuwa sana huwezi kuzuia flow of information na kwa kiasi na kasi uoga wa Watanzania umepungua sana, Hawa vijana wamekuwa wakitoa ushauri na nasaa kadha wa kadha juu ya athari zilizopo mbele kwa Taifa kama mtindo wa uongozi haitabadilika.

Endapo Watanzania watafanya maandamano makubwa atleast watu 1000 basi uungwaji mkono wa CCM ndani ya vyombo vya dola utaanguka vibaya mno (Catarophic collapse).

Huu ujumbe ni wa uhakika mkubwa sana, nitoe Rai kwa watu wote mnaojihusisha na uchawa, tukio hili liko karibu ila pengine linaweza likawa la ghafla kwa Chawa, ifike hatua Watanzania tujadili faida za Taifa na sio nani awe Rais.

Ndugu wa Tanzania wenzangu, chonde chonde usimtukane mtu, kuonea mtu au kumdhuru mtu kisa tu hakubaliani na huu utawala.

Hivi karibuni mtashuhudia watanzania wanasimamisha shughuli zao za kila siku na kudai mabadiliko kwa lazima na nguvu.
Labda sio hii CCM tunayoijua.
Hainguki hivi karibuni, na wahuni watahaikisha hiki chama hakitoki madarakani. Kubaliana na huo ukweli. Watanzania bado sana.
 
Mama kiukweli anapwaya sana,mtu wa vinyongo ,mjivuni ,jeuri,katili ,kashindwa kusimamia ufisadi,kauza nchi......🚮
 
Back
Top Bottom