Kuna uwezekano mkubwa wananchi wapiga kura hawana imani na upinzani kama wapinzani wanavyodhani

Aaaaaa kamanda,tume huru si wajumbe wetu walikimbia kwenye bunge la katiba? Muulize lowasa,kingunge na Mahanga kama walikuwa wanataka tume huru,amka babu
Barrow kashinda na dunia ikajua katikati ya Tume yawezekana mbovu kabisa maana Gambia ilikuwa chini ya mfalme wa milele. Hiki ni kiunzi kinachovukika kama wakiamua kuwekeza kwa wananchi kwa nguvu zaidi.
 
Mzingira ya vyama vya siasa ni magumu kwenye kipindi hiki.Hebu niambie ukinyimwa kufanya siasa unafanyaje??Kama polisi kazi yao kubwa ni kulinda hata maovu yanayofanywa na CCM against vyama vya upinzani unataka upinzani uende wapi??Ikiwa hata Mahakama leo imeshikwa shati na Mkuu wa kaya ni wapi Vyama vya siasa vitaenda??In short kwa uchaguzi huu wamefanya vizuri sana tu,ukiangalia number against mwaka 2015,kwangu mie sioni kwamba upinzani hususani wamekosa viti bali wamejionyesha pamoja na mazingira magumu bado wamefanya vizuri zaidi kuliko chama dola chenye polisi na tume.Unapokuwa na msimamizi kada wa CCM halafu unategemea CDM ishinde basi utakuwa na akili mbuzi.

Ona kilichofanyika Arusha,Zanzibar na Morogoro.Yule kijana wa CCM aliyempiga kijana wa CDM risasi ya mkononi amekamatwa??Na kama bado unategemea kuna usawa??Kama Lipumba yupo busy kuua umoja wa vyama vya siasa na kupewa ulinzi na serikali bado wapinzani wanakosa??

Kabla hujaja na vituko vya kudhihaki upinzani hebu jiangalieni CCM kama chama dola nguvu kiasi gani mmetumia kuvinyakuwa viti hivyo??
Man devised many survival tactics including shifting blames to a third party. CDM has perfected this always finding excuses to their underperformance. If they don't wake up from their slumber, then they should forget leading this country.
 
Navyoamini mimi ni kuwa hatujawa serious na hitaji letu la kushinda.Bado tuna fanya siasa kama mchezo tu.yaani Simba na yanga.utani wa jadi. Kwa sababu hata anayepiga kura haoni faida au hasara ya kile anachofanya.
 
Tusidanganyane,wananchi walio wengi na wenye upeo hawajitokezi kupiga kura.Lakini pammoja na hao vipovu kupiga kura hakubadirishi kitu.
 
Barrow kashinda na dunia ikajua katikati ya Tume yawezekana mbovu kabisa maana Gambia ilikuwa chini ya mfalme wa milele. Hiki ni kiunzi kinachovukika kama wakiamua kuwekeza kwa wananchi kwa nguvu zaidi.
Mi sipingani na hilo,ila nakwambia tume huru hawakuitaka wajumbe wa ukawa,
 
Kwani Hawa madukani mlilala nyumbani?
My point is tume sio huru na ukiona imetangaza mgombea wa upinzani kashinda ujue ni baada ya mbinde sana na vuta nkuvute nyingi?? Unakumbuka wenje wwe hadi kuwashana vibao na mkapa au kule momba kwa silinde hadi watu kuzingira kituo cha kujumuisha matokeo ndo mpinzani akatangazwa........
Ita not easy mkuu ndio maana wakurugenzi waliokataa kutumika kma kina musaa natty wa kinondoni ambao upinzani ulitangazwa kote umeshinda wakaishia kutimuliwa kwenye maeneo yao ya kazi....
So hta gekul angelala nyumbani leo hii angeskia bunge kwenye redio tu :D:D:D
 
Aaaaaa kamanda,tume huru si wajumbe wetu walikimbia kwenye bunge la katiba? Muulize lowasa,kingunge na Mahanga kama walikuwa wanataka tume huru,amka babu
Tume huru waliidai kina mnyika hadi wakazuia bunge mkutano wa 19 lisiendelee hadi wajadili hilo kwanza na mwisho wa siku makinda na udikteta wake akazuia isipatikane sasa nani alikimbia??? Ulitaka upinzani wafanyeje??? Mkuu huwa sieleewi unasimamia nini hasa maana reasonin capacity yako ipo chini sana sorry to say dat
 
Kama unapenda "stories" wasikilize wapinzani ....inavunja moyo sana ....sana ....
 
Kuna haja ya vyama vyetu vya upinzani kuanzisha kitengo cha utafiti chenye weredi wa Hali ya juu ili wajue wanatoka wapi na wanakwenda wapi na kwa nguvu na rasilimali gani kuliko kukaa na kubeza taasisi za kitafiti. Matokeo kama haya yataendelea kuwepo hadi dunia iishe kama wakiendelea kuwekeza kwenye kelele badala ya utafiti wa Nani atawapigia kura na kwa nini.

Wakishindwa tumeibiwa, wakigundua hakuna sababu ya kusingizia utasikia wananchi hawajitambui au acha waendelee kuibiwa na CCM, kama Kuna uchaguzi wa kutumia kama pilot project maana walitumia msuli mkubwa tokeo likawa sisimizi ni Ule uchaguzi wa marudio iringa na mtoto wa mgimwa akashinda.

Kuna uwezekano mkubwa imani ya wananchi inakua na kuyeyushwa ghafla na mienendo isiyoaminika ya wapinzani wetu Bila wapinzani wenyewe Kutumbua hilo. Tuache visingizio
Issue moja ni kua kupiga kura ni Jambo moja, na kuhakikisha mlichokipigia kura ndicho kinachotangazwa ni jambo lingine.
Watu hua wanajuaga kuhusu swala la kupiga kura tu kisha wanajua washamaliza mchezo na kusubiri matokeo. Katika nchi ambayo Chama kinachotawala kinaitawala mpaka tume ya uchaguzi basi lolote linaweza kutokea.

Swala la UWAZI kwenye tukio zima la kupiga kura ni changamoto kubwa sana. Pia vyama navyo vina changamoto nyingi sana. Chama unaweka wakala kisha unamwabia ajitolee sababu tu siasa inahusisha kujitolea ni mtihani sana. Ukute hata ukimpa posho basi ni ndogo sana. Uchaguzi kama huu wa udiwani ina maana we ukiweza "kuwaweka mfukoni" mawakala wa upinzani wachache unashinda kiulaini sana. Unamkuta wakala njaa hana hata buku mfukoni kwanini asiuze matokeo kwa hata 50,000/=??
 
CONTEMPLATE....
Break The Law



The President, like everyone else, is subject to the laws of the land such as not lying under oath. If the President does break those laws, the House has the right to vote for Impeachment, and the Senate has the right to try those cases like a typical court.
Mkuu huyo Mfungwa kanunua gereza?
 
Wazee wa ushindi wa mezani unafunga wapinzani miez nane nane toka mkuu wa mkoa hadi chumba cha kuhesabia kura kinamilikiwa na ccm unashindwaje kushinda?



zitto anatafutwa na polisi alikuwa jana kwenye mkutano wa kisiasa yani ni sawa mpo ulingoni na bondia mwenzio kishafungwa kamba mikono utapigwa hapo?


Upinzani uko bize kuhangaika kujinasua na makes ya mkuu wa nchi ya vifungi vya miez 8 bado kuna lipumba wao ccm wanapanga namna ya kuiba kura kwa utulivu wangeshindwa hakika ni wajinga
Wapinzani wamepotazana hawana umoja wamegawanyikagawanyika hawaminiani wao kwa wao na matokeo yake hata wananchi hawawamini.
 
Tume huru waliidai kina mnyika hadi wakazuia bunge mkutano wa 19 lisiendelee hadi wajadili hilo kwanza na mwisho wa siku makinda na udikteta wake akazuia isipatikane sasa nani alikimbia??? Ulitaka upinzani wafanyeje??? Mkuu huwa sieleewi unasimamia nini hasa maana reasonin capacity yako ipo chini sana sorry to say dat
Kwa hiyo mkuu unaamini tume huru itapatikana chini ya lowasa na kingunge? Pole sana.amini nakwambia,chadema kwa sasa hatueleweki kabisa.
 
Kwa sehemu nakubaliana na hoja yako.

Upinzani sijui kwa nini hautoi kipaumbele kwenye suala la marekebisho ya Katiba na Sheria za nchi zenye kuakisi muktadha na mazingira ya siasa za ushindani za vyama.

Hakuna namna wanaweza kushinda uchaguzi mkuu wowote katika mazingira na sheria za sasa. PERIOD! Na hapo ndipo ninapowatilia mashaka na wao pia.

Njia pekee ya wao kushinda ni iwapo tu wananchi kwa wingi wao wataamua kufanya mabadiliko ya nguvu/lazima bila kufuata "mifereji" na "matuta" yaliyowekwa na watawala. Sanduku la kura sio njia sahihi katika mazingira ya sasa. Sisemi paweko na uasi au vurugu la hasha, nasema inahitajika nguvu na msukumo wa ziada toka kwa wananchi kudai na kupata mambo muhimu na maendeleo halisi wanayoyataka na kutamani.

Kwa sasa Serikali inawajibika kwa CCM. Halafu CCM na Serikali yao kwa pamoja hawawajibiki kwa wananchi kwa vile mamlaka waliyonayo hayatoki wala hayatokani na wananchi (asomaye na afahamu)!
Naona hapo kwenye hoja yako kuna harufu ya uchochezi.
 
Duh ukawa hawakutaka tume huru??? Asee au sijaelewa?
Yeah hawakuitaka,walikimbia bunge kisa serikali tatu.huyo Lowasa ambaye we unamuabudu na ambaye mimi natamani leo kesho aondoke chadema,ndie alikuwa ni moja ya wapinga tume huru,kingunge,lembeli,bulaya,hao wote ni ukawa mkuu,acha mahaba ya kitoto
 
Back
Top Bottom