Kuna uwezekano mkubwa wananchi wapiga kura hawana imani na upinzani kama wapinzani wanavyodhani

Yeah hawakuitaka,walikimbia bunge kisa serikali tatu.huyo Lowasa ambaye we unamuabudu na ambaye mimi natamani leo kesho aondoke chadema,ndie alikuwa ni moja ya wapinga tume huru,kingunge,lembeli,bulaya,hao wote ni ukawa mkuu,acha mahaba ya kitoto
We jamaa nmekudharau sana kuanzia leo ur such an empty brain sasa mbowe akiwa ccm na dk slaa akiwa ccm waliunga mkono katiba mpya iliodaiwa na NCCR mageuzi??? Maalim seif je akiwa ccm hadi kuwa waziri kiongozi alitaka serikali 3??

Mkuu i believe umeenda shule by that time hao hawakuwa ukawa wala upinzani sasa ukitegemea lowasa aunge mkono serikali 3 wakati chama hake kilitaka serikali 2???

Hta kibaki alipinga mabadiliko ya katiba waliotaka kina odinga miaka ya 90 enzi hizo kibaki ni makam wa rais wa moi hadi akawaweka ndani wapinzani ila alipojiunga na upinzani akaungana na odinga kudai katiba mpya ambayo ilipatikana na ikiwa na tume huru sasa wewe hujifnzi kwa kibaki umekalia fikra mgando???

Mtu akibadili ideology basi ashabadili harudi nyuma mjudge lowasa akiwa ukawa je alidai serikali 2 tena?? Huyo lowasa siku ya mahafali ya chaso pale Karimjee si alisema tume huru muhim bila hyo 2020 kuingia ikulu ni ndoto sasa tume gani huru ambayo lowasa aliipinga???
 
Kwa hiyo mkuu unaamini tume huru itapatikana chini ya lowasa na kingunge? Pole sana.amini nakwambia,chadema kwa sasa hatueleweki kabisa.
Itapatikana kwa joint efforts za wananchi whether mbowe yupo ama hayupo whether lowasa ama kingunge tuna watu wengi tu wakufight tupate tume huru. Last time mnyika alipambana sana mkutano wa 19 ila kwa udikteta wa makinda hoja hii ikavurugwa sasa kma unafkiri ni one individual ndoo ataleta tume huru ur wrong.....ni wajibu wa kila mpenda haki na demokrasia kudai tume huru sio wanasiasa peke ake
 
Waambie kwanza Mbowe, mnyika, mdee, na wabunge wote wa chadema wajihudhuru ubunge maana wametangazwa washindi na tume isiyo huru.
We uliona mdee na mnyika walivyopambana hadi kukudana mashati..... we unafkiri bila mdee kukomaa na kukesha amelalia masandu angetangazwa??? Nitajie jimbo hata moja ambalo mpinzani alienda kulala usiku wa tarehe 25 nyumbani kwake afu asbuhi akatangzwa mshindi???
Wenje na kafulila pia naftali ni mfano yaani walikosea kukubali kurudia kuhesabu kura na ndo hapo ccm wakapata mwanya wa kuwaangusha afu wwe unasema wajiuzuru?? Wote hao walitangazwa wakiwa wanatoka jasho sio kma walitangazwa tu na NEC ila mbinu zikigoma kwa hyo walitangazwa kwa shingo upande afu ukilalamika wanakwambia NENDA MAHAKAMANI
 
Vipi suala ya kutokuwa na Tume huru? Haliwezi likawa moja ya sababu?
Waulize Wakenya suala hilo. Walianzisha hiyo the so called Tume huru. Haikusaidia bado wanalalamika. Hakuna kitu kama hicho. Hata kama utaachia makanisa na mamiskiti kuunda hiyo tume.
 
Waambie kwanza Mbowe, mnyika, mdee, na wabunge wote wa chadema wajihudhuru ubunge maana wametangazwa washindi na tume isiyo huru.
hao bila nguvu ya umma ubunge wangeusikia redioni tu. yaani tume kutangaza wabunge wa upinzani mpaka mashinikizo ya wananchi?
 
Ndugu zanguni msiraumu wapiga kura, turaum na kampeni zetu pia.
Kunawakati ukihudhuria mikutano mbalimbali ya vya flani, kama hujakunywa kidogo huwezi vumilia hotuba zao au kama uko na mtu wa heshima usiende kabisa kwenye mkutano huo.
Utakuta toka mwanzo wa hotuba hadi mwisho ni matu na kumsengenya kiongozi flani hadi mnatukera sisi wapiga kura ndio maana tunakuwa na wasiwasi hata kuwapa madaraka makubwa.
USHAURI WANGU!!!
tuambieni sera zenu sio kutuelezea matatizo ya kiongozi flani. kwani kila mwanadamu hajakamilika hata wewe mwenyewe tambua kuwa unamatatizo pia.
Acheni kuona wingi wa watu mikutanoni halafu mnajitangazia ushindi, hii ni sawa na kiongozi wa dini kuona waumini wengi kwenye nyumba za ibada halafu anafikiri wote wataiona pepoo au mbinguni.



Asanteni ni maoni yangu tu.
 
Vipi suala ya kutokuwa na Tume huru? Haliwezi likawa moja ya sababu?
Hapa siyo suala la tume, binafsi huwezi kunishawishi nimpigie kura lowasa!
Mtaendelea kulaumu sana hadi akili iwaingie, huwezi kupigana na adui kwa mbinu zilezile kwa miaka yote, tena mbaya zaidi kwa kutumia watu wa upande wa adui!
 
Kuna haja ya vyama vyetu vya upinzani kuanzisha kitengo cha utafiti chenye weredi wa Hali ya juu ili wajue wanatoka wapi na wanakwenda wapi na kwa nguvu na rasilimali gani kuliko kukaa na kubeza taasisi za kitafiti. Matokeo kama haya yataendelea kuwepo hadi dunia iishe kama wakiendelea kuwekeza kwenye kelele badala ya utafiti wa Nani atawapigia kura na kwa nini.

Wakishindwa tumeibiwa, wakigundua hakuna sababu ya kusingizia utasikia wananchi hawajitambui au acha waendelee kuibiwa na CCM, kama Kuna uchaguzi wa kutumia kama pilot project maana walitumia msuli mkubwa tokeo likawa sisimizi ni Ule uchaguzi wa marudio iringa na mtoto wa mgimwa akashinda.

Kuna uwezekano mkubwa imani ya wananchi inakua na kuyeyushwa ghafla na mienendo isiyoaminika ya wapinzani wetu Bila wapinzani wenyewe Kutumbua hilo. Tuache visingizio
Kama ni kweli basi nitoeni akili weka TUME huru ya kusimamia uchaguxi

Wenye akili kama zenu ndio mnatutukanisha watu weusi tinaonekana vichwanj tumeoza
 
Mzingira ya vyama vya siasa ni magumu kwenye kipindi hiki.Hebu niambie ukinyimwa kufanya siasa unafanyaje??Kama polisi kazi yao kubwa ni kulinda hata maovu yanayofanywa na CCM against vyama vya upinzani unataka upinzani uende wapi??Ikiwa hata Mahakama leo imeshikwa shati na Mkuu wa kaya ni wapi Vyama vya siasa vitaenda??In short kwa uchaguzi huu wamefanya vizuri sana tu,ukiangalia number against mwaka 2015,kwangu mie sioni kwamba upinzani hususani wamekosa viti bali wamejionyesha pamoja na mazingira magumu bado wamefanya vizuri zaidi kuliko chama dola chenye polisi na tume.Unapokuwa na msimamizi kada wa CCM halafu unategemea CDM ishinde basi utakuwa na akili mbuzi.

Ona kilichofanyika Arusha,Zanzibar na Morogoro.Yule kijana wa CCM aliyempiga kijana wa CDM risasi ya mkononi amekamatwa??Na kama bado unategemea kuna usawa??Kama Lipumba yupo busy kuua umoja wa vyama vya siasa na kupewa ulinzi na serikali bado wapinzani wanakosa??

Kabla hujaja na vituko vya kudhihaki upinzani hebu jiangalieni CCM kama chama dola nguvu kiasi gani mmetumia kuvinyakuwa viti hivyo??
Kwa sehem mnaposhinda hapo kunakuwa na tume huru then uhuru wa tume unakoma pale tu mnapochapwa si ndio?
 
Huo ndiyo uongo wako mchana kweupe. Ebu tupe mfano wa nchi moja.
ingekuwa hivyo hakuna chama tawala Africa na duniani kote ambacho kimewahi kutolewa madarakani kwa box la kura.
nenda india,nenda kenya, US wakati Bush anamshinda Algore, Duniani kote huwa malalamiko yapo. Ila wananchi wanapoamua kumpa kura za kutosha wanaempenda hata katikati ya hicho tunachokiita kutokuwa huru ushindi huwa haukwepeki.
Maoni yangu. Kuna weza kuwepo malalamiko kiasi lakini ni aibu mlalamikaji analalamika huku yeye hajafanya homework yake vzr. Yaana Ubora wa Upinzani ni Udhaifu wa CCM na sio Mbadala waliouandaa kwa Taifa.
 
Kama ni kweli basi nitoeni akili weka TUME huru ya kusimamia uchaguxi

Wenye akili kama zenu ndio mnatutukanisha watu weusi tinaonekana vichwanj tumeoza
Hata ikiwekwa hiyo inayoitwa huru kwa mtazamo wangu,Uwezo wa kushinda kwa wapinzani wetu bado mdogo hawajajidhatiti vya kutosha. Hawapromise chochote cha maana kama mbadala kwa jamii. Ni sawa na Uchaguzi uliopita tulitaka LWS ashinde kama adhabu kwa CCM na sio kama mtu mwenye uwezo wa kuaminika kuisaidia nchi, ndio maana anatumia vitu kama balali, Nchi inapesa nyingi akiulizwa atazitoa wapi anasema mashangingi na madini ambayo anajua fika uhalisia wake ni wa kufikirika zaidi.
uchaguxi- napata shaka na uandishi huu
 
Hata ikiwekwa hiyo inayoitwa huru kwa mtazamo wangu,Uwezo wa kushinda kwa wapinzani wetu bado mdogo hawajajidhatiti vya kutosha. Hawapromise chochote cha maana kama mbadala kwa jamii. Ni sawa na Uchaguzi uliopita tulitaka LWS ashinde kama adhabu kwa CCM na sio kama mtu mwenye uwezo wa kuaminika kuisaidia nchi, ndio maana anatumia vitu kama balali, Nchi inapesa nyingi akiulizwa atazitoa wapi anasema mashangingi na madini ambayo anajua fika uhalisia wake ni wa kufikirika zaidi.
uchaguxi- napata shaka na uandishi huu
Unasifia ubingwa wa mpiganaji aliyewafunga wenzake mikono nyuma. Wekeni TUME huru ya uchaguzi. Acha maneno weka TUME huru ya uchaguzi
 
Naom
Ni vigumu kuaminika ukiwa na tabia za kubadilishia gia angani badala ya kuwa na msimamo na kutekeleza kwa vitendo unachoamini ni sahihi, kwa mfano huwez kuwaambia wananchi "anayemuunga mkono bwana fulan anapaswa kupimwa akili" then kesho yake uliyetoa kauli hiyo anaonekana akimuunga mkono bwana yule yule .Sasa kwa akili za kawaida hata kama mm sina chama wala kwenda shule nitaanzaje kumwamin mwanasiasa wa kaliba hii?[/QUOTE Naomba nipatiwe majibu ya Daktari aliye mpima akili Msigwa tafadhali!
 
Vipi suala ya kutokuwa na Tume huru? Haliwezi likawa moja ya sababu?
mnataka tume itoke mbinguni. tume zote zinaundwa na mamlaka zilizopo kama vile mahakama zinavyoundwa na mamlaka zilizopo. muhimu ziwe huru kwenye maamuzi yao. sasa mkishinda mnashangilia mkishindwa...ooh tume.
 
wapinzani nguvu yao ni kwenye social media......lkn wapiga kura hawana imani nao
 
Back
Top Bottom