Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Fesibuku ulikuwa unatumia nokia asha nn??Uandsh wa smartphone ttzo unaweza kuandik kama ghafla linakuj kum*
Fesibuku ulikuwa unatumia nokia asha nn??Uandsh wa smartphone ttzo unaweza kuandik kama ghafla linakuj kum*
Kweli mkuu JamiiForums HIPO juuYah!! Ni kweli kabisa jamii forums hipo juu
Kwahyo we ulkuwa mmoja was mataira was fb ila umewaacha wenzio duu uchoyo huoHabari wana jamii forum.? Mimi sina mwezi kujiunga jamii forum ila kwenye Facebook nina miaka mitano kutumia mtandao wa FB ila kuna utofauti mkubwa jamii forum hipo juu kuliko FB ukiwa na tatizo lako lete jamii forum na nilichogundua watumiaje wengi wa FB ni mataira,wendawazimu.unajua huwezi kuniamini ila nenda kapost Picha yoyote tena ukiandika andika x uone maajabu ya picha hii dk kumi haifiki mataira tiyari wameandika.jamii forum kuna wasomi na waelewa lkn kule hatari