Kuna utaratibu gani wakufatwa ili kesi kuendeshwa live?

baba anjela

JF-Expert Member
Mar 17, 2013
430
310
Naomba niulize, kuna vigezo gani au taratibu gani za kufatwa ili kesi kuendeshwa live? Kama zipo ni kwanini Chadema wasipeleke maombi hayo ili kuonesha live uendeshaji wa kesi ya Mbowe ili umma uweze kufatilia?
 
Back
Top Bottom