baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 430
- 310
Naomba niulize, kuna vigezo gani au taratibu gani za kufatwa ili kesi kuendeshwa live? Kama zipo ni kwanini Chadema wasipeleke maombi hayo ili kuonesha live uendeshaji wa kesi ya Mbowe ili umma uweze kufatilia?