sory kama kuna ndugu zake: honestly mimi yule mama kila nikimsikia huwa nawakumbuka wale dada zetu wa chupi mkononi. Yaani nashindwa kumtofautisha na watu wa aina ile. Nshawahi kumsikia akipiga kelele za kuchonganisha ndoa za watu ili wawe wengi. Anatamani kuwa kama maathari ila amesahau kwamba yuko kwenye genge la wakandamizaji wa haki za wanyonge. Mwenzake alikuwa anapigania wanawake wajikomboe ndo maana mpaka leo kenya wanafunzi wa kike wanafundishwa namna ya kutambua haki na wajibu wao from primary schools. Sasa yeye anahubiri wanawake wajikomboe wakiwa wako kwenye ndoa,haki zao hawajui,wajibu wao hawajui ndo maana wanaishia kwenye kuvunja ndoa za watu sababu ya mambo ya TUPO SAWA wakati kila kitu nyumbani naleta mimi. Wanawake mkitaka kujikomboa anzeni kujenga kuanzia chini siyo mnaanzia juu!