Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
HahahhhHaha. Jiongeze basi J maswali gani hayo na utuuzima huu nitafunguka yote. Ohooo.
Teh. Basi fanya kuagiza lunch hotel yoyote ya karibu . Bill andika Daby.
Basi hiyo lugha tuachane nayo tuanze kimasai
Nilijua tu hutoweza kuuelezea huo ukungu
Em tujaribu kimasai tukimaliza nakuja cha kwetu kuleee
mume unanichagulia au nachagua mwenyewee??? Ngoja nikamuite shangaziii
Utanyookajee,
