94 percent ya wa TZ ni washirikina
ipo research ililetwa humu...
That's a bit far fetched. . .
94 percent ya wa TZ ni washirikina
ipo research ililetwa humu...
That's a bit far fetched. . .
By washirikina wanamaanisha nini? Kama ni kuamini juu ya uwepo wa supernatural power l concur with results! Ila kama ni utegemezi wa waganga wa jadi kwa kufanya mambo yaende sawa, sikubaliani na hiyo percent!
angekuwepo EMT angetupa link
hiyo research iililetwa humu...
94 percent ya wa TZ ni washirikina
ipo research ililetwa humu...
Umeona eeh!
ukishaamini kuwa unaweza kurogwa
hapo automatically wewe ni mshirikina hata kama huendi kwa waganga
kwa sababu kuamini kwako kunatengeneza biashara za ushirikina indirectly.
kumbuka hata wachungaji wanaojifanya wana tibu,wapo baadhi ni washirikina
ingawa in public wanapinga
Tatizo sio link, tatizo ni kuamini kila kinachosemwa kimefanyiwa utafiti hata yale yasio na uhalisia/yanayokosa ukweli na nguvu ya kumwaminisha mtu jambo husika.
Ina maana hata mama Rwakatare naye??
sawa lakini ungeisoma hiyo tafiti ungeelewa
mfano
je wewe ukiambiwa nyumba ina mashetani..unadharau au unaweza kwenda kuishi ndani?
vitu kama hivyo
au unaweza kuwa huamini nguvu ya ushirikina
lakini wazazi wako wanakupeleka kwa waganga toka mdogo
na wewe unaenda ili kuwaridhisha tu but huamini,,,but still ni mshirikina
Pamoja na hilo mkuu kwani huoni hata wale wanaopiga mapete makubwa mkononi! Tumezoea pete za ndoa,lakini siku hizi yanapachikizwa na yale mapete makubwa makubwa,tafakari!Kuna ukweli wowote eti ukiwa Mheshimiwa pale mjengoni nilazima uwe umekamilika lazima uwe na Capacitor??(HIRIZI)ya ukweli Vinginevyo haliyako inaweza kuwa mbaya!:alien:
Ahaaa inamaana yule mkulu aliyekuwa anavaa bonge la mcheni utadhani Lilywynne shingo mpaka ikapinda na watu wakahoji mbona cheni imelalia ubavu wa kushoto kwamaana haiko straight inamaana lilikuwa dudu kalivalisha?/angekuwa masikini tungeona linyuzi limekatisha??Pamoja na hilo mkuu kwani huoni hata wale wanaopiga mapete makubwa mkononi! Tumezoea pete za ndoa,lakini siku hizi yanapachikizwa na yale mapete makubwa makubwa,tafakari!