Kuna ukweli wowote hapa?

Kuna ukweli wowote hapa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,032
Reaction score
126,485
Kwamba laiti Binadamu ( hasa Watanzania ) tungekuwa tunajua Siku zetu za Kufa, Muda na Jinsi Vifo vyetu vitakavyokuwa huenda tungeheshimiana sana na kupendana mno kiasi cha Kumfurahisha Mwenyezi Mungu na tusingekuwa tunachukiana, tunakomoana, tunafitiniana, tunatekana na kutesana na midude mbalimbali ya huku na kule Tanzania, Afrika na Dunia ingekuwa sehemu salama huku Malaika kila mara wakipenda Kuishi nasi.

Kuna ukweli wowote hapa?

Nawasilisha.
 
Ukweli ni mkubwa na ndio maana kila mtenda mabaya huamini hana mwisho wake, lakini watenda mema huamini wana mwisho unakuja hivyo hakuna haja ya kuumiza ama kuwafanyia mabaya wengine.
kadri unavyo kifikiria kifo ndivyo kiwango chako cha busara huongezeka.
ni mtazamo wangu tu.
 
Kumbe Dr.Lemmy Ongara alikuwa Genius.
cc.wimbo wake wa kifo
 
Ukweli ni mkubwa na ndio maana kila mtenda mabaya huamini hana mwisho wake, lakini watenda mema huamini wana mwisho unakuja hivyo hakuna haja ya kuumiza ama kuwafanyia mabaya wengine.
kadri unavyo kifikiria kifo ndivyo kiwango chako cha busara huongezeka.
ni mtazamo wangu tu.
That why Alexander the Great alitubu.
 
Back
Top Bottom