fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Good, Zimwi likujualo. Ila stranger na ana moyo bana kwa nini umuumize hivyo?Zikinipanda sana bora nimvulie ex kuliko stranger lakini baada ya hapo asinitafute tena
Good, Zimwi likujualo. Ila stranger na ana moyo bana kwa nini umuumize hivyo?Zikinipanda sana bora nimvulie ex kuliko stranger lakini baada ya hapo asinitafute tena
Aisee!!!kama mtu anaweza kurudi tumboni kwa mama yake basi ndivo ilivo kwangu kurudiana na ex !
Come back pls..am waiting for you..Having sex with your ex it's not cheating, is called a memorial service.
Memorial service inaweza kukulemaza usimove onMemorial Services Sky Eclat , vipi umekumbuka chaka la zamani na sasa unatafuta njia ya kulivamia upya. Lakini kwenye jamii za kifugaji wana msemo mmoja kuwa ng'ombe akinywa maji sehemu huwa hawezi kusahau. Hata ikipita miaka kadhaa, then one day ukijaribu kumpleka huko anaenda faster kwa maana bado anaikumbuka njia vizuri. So nijuavyo pia hata haya mambo ya mahusiono wapo wengi sana wamejikuta wakirudiana several times na ex wao, labda huwa wanafanya memorial service, ingawa sio nzuri hata kidogo
Memorial service inaweza kukulemaza usimove on
Mkuu hiyo inaitwa kupasha kiporo,,kiporo kinapashwa na kuliwa wala hakina madharaHaving sex with your ex it's not cheating, is called a memorial service.
ex ?????? sijui atanianzia wapi?
TCRA wanakuonaHaving sex with your ex it's not cheating, is called a memorial service.
Achana nao hao wote vyande tuMkuu angalau kuna aliyeniunga mkono hao walopita wengi walikuwa negative kuhusu hili
Mkuu mtu umeshavuliana nae atakuwaje dada tena