kuna ukweli kuhusu hili??

kuna ukweli kuhusu hili??

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258
wapo wanaoamini kwamba kukaa na GIRLFRIEND au BOYFRIEND kwa muda mrefu uhakika wa kuolewa au kuoa ni mdogo maana watu wanakuwa wamechokana na wanajuana vizuri hasa mapungufu baina yao ndio maana nowdays watu wanadumu kwenye uchumba kwa miezi 6 au mwaka halafu wanaoana...........hivi kuna ukweli kuhusu hili wadau
 
We jifujishe kwa mtu hadi Scrap Value iende negative ndo utapata habari yako! Mtu kashakukula weee hadi kakukinai akuoe wa nini? KIPYA HAKINYEMI INGAWA NI KIDONDA!
 
Inategemea sababu nyingi tu zikiwemo kila upande kujua mapungufu ambayo wachumba huyaficha,mfano uchoyo,chuki kwa ndugu,mapenzi ya upande mmoja yaani kutoa tu bila marejesho n.k,wachumba au marafiki hugundua kuwa chaguo halijatulia kulingana na wakati uliopo, inawezekana mmmekutana shuleni mahusiano yakafaa, lakini duniani safae,kukutana na mwenye mvuto na sifa zaidi,vishawishi fitina na mafisadi.
 
wapo wanaoamini kwamba kukaa na GIRLFRIEND au BOYFRIEND kwa muda mrefu uhakika wa kuolewa au kuoa ni mdogo maana watu wanakuwa wamechokana na wanajuana vizuri hasa mapungufu baina yao ndio maana nowdays watu wanadumu kwenye uchumba kwa miezi 6 au mwaka halafu wanaoana...........hivi kuna ukweli kuhusu hili wadau

ni kweli hasa kwa wadada jamani msikae na mwanaume zaidi ya mwaka1,obvious he will use it,pia ataoa sababu za uhakika kukuaminisha,sometimes hata yeye anaweza moyoni akawa na nia ya dhati hilo nalikubali,bt akishazoea kupata ile kituuu,huwa automatic anakuona wa kawaida,anakuwa hana haraka,coz anajua kama kamchezo anapata sasa haraka ya nini?,So mara nyingi ni kama Law of Diminishing return,unakuwa na hamu sana mwanzo,bt as time goes on unaanza kupunguza appetite,sio kwa kutaka,bt the law applied on itself.ni kama vile unapokuwa na kiu ya Fanta/Coca yabaridiiii ila ni tofauti na unapooa,coz unajua anytime ni cha kwako,hata Pyschology unakuwa umejiweka hivyo kwa mujibu wa kiimani,But hili swala ni la kimtazamo zaidi,ni SUBJECTIVE,So its free of mind,hakuna mwenye Marking scheme...ni uzoefu toka kwa wazoefu wa kuona,kusikia,kufanya/kufanyiwa.
 
We jifujishe kwa mtu hadi Scrap Value iende negative ndo utapata habari yako! Mtu kashakukula weee hadi kakukinai akuoe wa nini? KIPYA HAKINYEMI INGAWA NI KIDONDA!

Yani Dada angu Umetafutwa mchana wa leo?!
 
Kwenye mapenzi hakuna

MAGAZIJUTO.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hi wana JF, hope wkn has gone well!
Tuungane jtatu ktk kusukuma gurudumu la Taifa hili!
 
thanks wadau kwa misimamo yenu kuna kitu tunajifunza hapa ili tupunguze kuumizwa kimapenzi
 
Hehehe! sasa kama unamchoka mtu kwenye uboifrendi au ugelifrendi hivi ndoa itawezekana kweli?? au kwenye ndoa ndio hakuna kuishi pamoja??
 
Inategemeana na malengo yenu. Je ni bora kuchokwa baada ya miaka 3 ya uchumba au miaka 3 ya ndoa? At least mkiwa wachumba mnaachana na kutafuta mwingine anaekufaa na hatakuchoka na kukupenda kwa dhati. watu wanaharakisha kufunga ndoa, wanajiwekea timeline na kuja kugundua madhaifu baadae na kuanza kujenga chuki kwa mwenza wakaidhania alikuwa anaficha makucha.

Personally tulikuwa pamoja miaka 6 kabla ya kuoana. Tulikutana chuoni na tuna furaha sasa zaidi ya miaka 6 iliyopita. ukisikia umechokwa ujue upendo ulikuwa si wa dhati.
 
Hapo sasa

Unajua kuna nadharia nyingine nashindwa kabisa kuzielewa...mojawapo ni kama hii.
Huwezi yachoka mahusiano ya awali kwa kigezo cha muda wakati kinachokukabili mbele ni zaidi ya muda huo wa mahusiano ya awali.
 
watu8 umeongea la maana sana. Ni nadharia ambazo zinaongelewa vijiweni kutaka kuhalalisha tuu mambo yao. Hakuna formula yoyote ya ni muda gani watu wakae kwenye uchumba miezi kadhaa au miaka kadhaa. Ilimradi tuu mipango yenu ikoje. Akiwa mchafuzi hata ukae miaka kadhaa atatimiza lengo lake na atakuacha bila ndoa. Na unaweza shangaa huyo atakayekuja kumuoa akakaa nae miezi kadhaa na akafunga ndoa. Kuchokana kwenye mahusiano kunachangiwa na mengi na wala sio suala la muda. Huwezi choka uchumba wa miezi au miaka kadhaa wakati unatarajia kuwa na ndoa ya miaka mingi. Je kwenye ndoa nako utachoka.
 
Last edited by a moderator:
We jifujishe kwa mtu hadi Scrap Value iende negative ndo utapata habari yako! Mtu kashakukula weee hadi kakukinai akuoe wa nini? KIPYA HAKINYEMI INGAWA NI KIDONDA!
Kweli kabisa Lara 1 hata mimi yamenikuta, nimenyonyesha libaba zima kwa miaka 5 sioni kinachoendelea zaidi ya kugegedwa tu.
 
Back
Top Bottom