Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,258
wapo wanaoamini kwamba kukaa na GIRLFRIEND au BOYFRIEND kwa muda mrefu uhakika wa kuolewa au kuoa ni mdogo maana watu wanakuwa wamechokana na wanajuana vizuri hasa mapungufu baina yao ndio maana nowdays watu wanadumu kwenye uchumba kwa miezi 6 au mwaka halafu wanaoana...........hivi kuna ukweli kuhusu hili wadau