Kuna ukweli hapa?

Kuna ukweli hapa?

Joined
Feb 6, 2014
Posts
65
Reaction score
17
Kama ushawai kuacha au kuachwa unahisi kuna ukweli ktk picha hii?
attachment.php
 

Attachments

  • RELATION.jpg
    RELATION.jpg
    33.7 KB · Views: 1,087
kuna ukweli jaman kuumia kupo tena sana
 
Ukweli mtupu....

Hapana ukweli hapo E.S, na labda kwa jamii ile isiyo huru ambayo mwanamke bado hutambulika kama chombo cha starehe, inaweza kuwa hivi siku ya kwanza wote mkafurahi na siku ya kuvunjika mahusiano wote mkafurahi pia, au siku ya kwanza wote mkafurahi afu siku ya mwisho mmoja wao akaumia (me/ke) akati mwingine anafurahi (ke/me),au inaweza kuwa hivi siku ya kwanza wote mkachukia na pia siku ya mwisho wote mkachukia, au siku ya kwanza /ke akafurahi akati /me akachukia afu mwisho wao ukawa ni wote kufurahi....na kuendelea na kuendelea zipo nadharia nyingi tu mtu aweza kuzipata kinyume na picha isemavyo..suala la msingi ni kuwa na uelewa ule kwamba /me na /ke wana nafasi sawa katika kuanzisha, kujenga na kuendelea kuboresha mahusiano yao..
 
Nothing is there,what I know is it depends on the situation
 
I love truly madly and deeply such that when I end a relationship, its not gonna be me crying.
 
Ukweli kabisa, niliwahi kuachana na mtu siku za mwanzo mimi niliumia halafu yeye wala hajali, baada kama ya wiki moja mbili hivi mimi nikawa nishamsahau, sasa yeye akawa anakuja kila siku na simu masaa yote eti nimsamehe, nilimjibu sikumbuki kama nilishawahi kuwa na uhusiano na wewe, mimi ninachojua your my friend only, aliumia sana akawa anashinda baa eti apunguze mawazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom