Kuna ukweli hapa?

Kuna ukweli hapa?

Ukweli kabisa, niliwahi kuachana na mtu siku za mwanzo mimi niliumia halafu yeye wala hajali, baada kama ya wiki moja mbili hivi mimi nikawa nishamsahau, sasa yeye akawa anakuja kila siku na simu masaa yote eti nimsamehe, nilimjibu sikumbuki kama nilishawahi kuwa na uhusiano na wewe, mimi ninachojua your my friend only, aliumia sana akawa anashinda baa eti apunguze mawazo

Hakuwa na mambo ya muhimu kufanya???
 
hamna lolote...hapo mwanaume akishagegeda full shangwe na mwanamke nae kashakuchuna nae full shangwe ....siku hizi ngoma draw tuu
 
Ukweli kabisa, niliwahi kuachana na mtu siku za mwanzo mimi niliumia halafu yeye wala hajali, baada kama ya wiki moja mbili hivi mimi nikawa nishamsahau, sasa yeye akawa anakuja kila siku na simu masaa yote eti nimsamehe, nilimjibu sikumbuki kama nilishawahi kuwa na uhusiano na wewe, mimi ninachojua your my friend only, aliumia sana akawa anashinda baa eti apunguze mawazo

yaaani unakubali kabisa kuwa uligegegdwa? loh kweli wanawake wa siku hizi mnapenda m.booo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom